Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza

Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza

Mngemruhusu na Membe naye achukue fomu ya kupitishwa kugombea huo Urais ndani ya chama chenu halafu matokeo ya kura nayo yangehesabiwa kwa uwazi kama yale ya Urais wa Zanzibar ningewasifu sana!

Nina imani ile jana, Mwenyekiti naye angejigeuza kuwa Jecha wa pili kwa aina ya matokeo ambayo angeyapata kutoka kwa wale Wajumbe waliokuwa wakimshangilia kinafiki.

Hakuna aliyemkataza kugombea, wala kugombea siyo kosa na yeye siyo wa kwanza. Nikukumbushe wakati wa Mkapa alikuwepo Nasi Mnasa -MNEK, wakati wa Kikwete alikuwepo Shibuda. Tatizo ni kuanza harakati za kugombea kabla ya wakati, naomba pia usipotoshe hii ni kwa ngazi zote kuanzia mtaa, vitongoji, vijiji, shehia, jimbo na Urais wakati na kabla ya JPM.

Pia kama wewe ni mwanazuoni naomba kukujulisha kuwa kuna kitu kinaitwa "organization culture" , Membe alikiuka utamaduni wa CCM ,na alikuwa na lengo la ku sabotage Serikali iliyopo madarakani. Kama kawaida pokeeni kapi hilo mpitisheni tukutane Oktoba 2020.
 
CCM ni wengi

Kwa takwimu zipi? Milioni 5 na ushee! Maana takwimu ninazo zifahamu mimi zinaiongelea Tanzania yenye Watanzania wengi tusio wanachacma wa chama chochote kile cha siasa.
 
Rais Magufuli Mwenyekiti wa CCM anawakaribisha viongozi wa kidini kuombea mkutano huu.
 
Rais Magufuli anaeleza yaliyofanywa chini ya CCM
 
Magufuli hatosema amefanya yeye bali tumefanya sote
 
Mngemruhusu na Membe naye achukue fomu ya kupitishwa kugombea huo Urais ndani ya chama chenu halafu matokeo ya kura nayo yangehesabiwa kwa uwazi kama yale ya Urais wa Zanzibar ningewasifu sana!

Nina imani ile jana, Mwenyekiti naye angejigeuza kuwa Jecha wa pili kwa aina ya matokeo ambayo angeyapata kutoka kwa wale Wajumbe waliokuwa wakimshangilia kinafiki.
Weee asingeweza kuthubutu!!
 
Back
Top Bottom