Anataja Sekta mbalimbali na mafanikio yake
Namuona Dogo Janjaro hapoMkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Jumamosi, Julai 11, 2020 jijini Dodoma, Wajumbe 1,846 wanatarajiwa kushiriki. Mkutano huo unongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.
AJENDA:
1. Kufungua Mkutano
2. Marekebisho ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017
3. Taarifa za Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020 za SMZ, SMT na CCM
4. Uteuzi wa Mgombea wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
5. Kufunga Mkutano.
View attachment 1503538
UPDATES;
Mkutano Mkuu wa CCM unafanyika leo tarehe 11 Julai 2020 ukiwa na lengo kuu la kumpitisha mgombea wa Urais wa JMT.
Mkutano umehudhuriwa na wanachama 1,822 huku wanachama waliokosekana wakiwa 23 sawa na 1% hivyo uko sahihi kikatiba na ajenda zinaweza kujadiliwa.
View attachment 1503539
Kabrasha linajieleze
Nilijua tu, kijana anaendana na spidi ya jpm.Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Jumamosi, Julai 11, 2020 jijini Dodoma, Wajumbe 1,846 wanatarajiwa kushiriki. Mkutano huo unongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.
AJENDA:
1. Kufungua Mkutano
2. Marekebisho ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017
3. Taarifa za Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020 za SMZ, SMT na CCM
4. Uteuzi wa Mgombea wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
5. Kufunga Mkutano.
View attachment 1503538
UPDATES;
Mkutano Mkuu wa CCM unafanyika leo tarehe 11 Julai 2020 ukiwa na lengo kuu la kumpitisha mgombea wa Urais wa JMT.
Mkutano umehudhuriwa na wanachama 1,822 huku wanachama waliokosekana wakiwa 23 sawa na 1% hivyo uko sahihi kikatiba na ajenda zinaweza kujadiliwa.
View attachment 1503539
Membe anachukua form upinzani.Mngemruhusu na Membe naye achukue fomu ya kupitishwa kugombea huo Urais ndani ya chama chenu halafu matokeo ya kura nayo yangehesabiwa kwa uwazi kama yale ya Urais wa Zanzibar ningewasifu sana!
Nina imani ile jana, Mwenyekiti naye angejigeuza kuwa Jecha wa pili kwa aina ya matokeo ambayo angeyapata kutoka kwa wale Wajumbe waliokuwa wakimshangilia kinafiki.
Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Jumamosi, Julai 11, 2020 jijini Dodoma, Wajumbe 1,846 wanatarajiwa kushiriki. Mkutano huo unongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.
AJENDA:
1. Kufungua Mkutano
2. Marekebisho ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017
3. Taarifa za Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020 za SMZ, SMT na CCM
4. Uteuzi wa Mgombea wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
5. Kufunga Mkutano.
View attachment 1503538
UPDATES;
Mkutano Mkuu wa CCM unafanyika leo tarehe 11 Julai 2020 ukiwa na lengo kuu la kumpitisha mgombea wa Urais wa JMT.
Mkutano umehudhuriwa na wanachama 1,822 huku wanachama waliokosekana wakiwa 23 sawa na 1% hivyo uko sahihi kikatiba na ajenda zinaweza kujadiliwa.
View attachment 1503539
Hakuna aliyemkataza kugombea, wala kugombea siyo kosa na yeye siyo wa kwanza. Nikukumbushe wakati wa Mkapa alikuwepo Nasi Mnasa -MNEK, wakati wa Kikwete alikuwepo Shibuda. Tatizo ni kuanza harakati za kugombea kabla ya wakati, naomba pia usipotoshe hii ni kwa ngazi zote kuanzia mtaa, vitongoji, vijiji, shehia, jimbo na Urais wakati na kabla ya JPM.
Pia kama wewe ni mwanazuoni naomba kukujulisha kuwa kuna kitu kinaitwa "organization culture" , Membe alikiuka utamaduni wa CCM ,na alikuwa na lengo la ku sabotage Serikali iliyopo madarakani. Kama kawaida pokeeni kapi hilo mpitisheni tukutane Oktoba 2020.
Hawa wasaliti wamefurahiaMkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Jumamosi, Julai 11, 2020 jijini Dodoma, Wajumbe 1,846 wanatarajiwa kushiriki. Mkutano huo unongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli.
AJENDA:
1. Kufungua Mkutano
2. Marekebisho ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017
3. Taarifa za Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020 za SMZ, SMT na CCM
4. Uteuzi wa Mgombea wa CCM wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
5. Kufunga Mkutano.
View attachment 1503538
UPDATES;
Mkutano Mkuu wa CCM unafanyika leo tarehe 11 Julai 2020 ukiwa na lengo kuu la kumpitisha mgombea wa Urais wa JMT.
Mkutano umehudhuriwa na wanachama 1,822 huku wanachama waliokosekana wakiwa 23 sawa na 1% hivyo uko sahihi kikatiba na ajenda zinaweza kujadiliwa.
View attachment 1503539
Hao ni sehemu ya CCMBado nashangaa lipumba, mrema wanatafuta nini kwenye mkutano wa ccm, mwenye majibu anisaidie
We umenisusa sanaaNjoo huku achana na siasa
Bado nashangaa lipumba, mrema wanatafuta nini kwenye mkutano wa ccm, mwenye majibu anisaidie
Namuona Kijana MWENZETU Joshua Nassari....
Karibu Sana komredi,karibu nyumbani Kaka.
Mlituzodoa Sana kwa maneno ya KUCHUSHA huku mkisahau maisha NI safari ndefu na SIASA ZINABADILIKA...ila tumewasamehe kwa Maana mmeshajua Sasa kuwa AKIBA YA MANENO NI SILAHA KUBWA MAISHANI.
Najua mmeshajitambua....
Najua mmeshabadilika....
Najua mmeshaacha MAZOEA.....
Karibu Tukijenge chama,braavooo.
Hasta la Victoria CCM
Siempre siempre CCM
ALuta continua CCM
Viva CCM
KIDUMU CCM.
TWENDE NA MAGUFULI KIUNZI CHA 2020.
Ni ujuha kukimbia fursaWewe kwa akili zako.unafikiri anaipenda CCM au Ni fursa kafata?? Watu wengi wamefata fursa CCM
Wewe kwa akili zako.unafikiri anaipenda CCM au Ni fursa kafata?? Watu wengi wamefata fursa CCM