Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza

Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amteua Samia Suluhu kuwa Mgombea Mwenza

Napata vishiari vya hali hii kutoka katika hotuba zake za hizi karibuni. Vyama vinavyofikiria kuweka wagombea vinaonyeshwa kuwa siyo vya kizalendo na ni vyenye matatizo, huku Mrema na Lipumba wakisifiwa!
Hana sifa ya kushinda kwa box la kura toka zamani. Na hilo la kuwa na fomu moja ya matokeo General Election ni agizo lake. Unaposikia atashinda kwa 90%+ ujue hayo ni maagizo yake. Na kuna misukumo mikubwa ya kutaka wapinzani wasishindane na yeye ili apite bila kupingwa. Na iwapo wapinzani watakaza kamba tutarajie damu kumwagika, na uchaguzi wa kishenzi kuwahi kutokea hapa nchini.
 
Wanafuata mlo , njaa inawahangaisha

No hate na fear mmeisahau? Au kwa kua haikutoka mioni mwenu bali kwa chui mwenye ngozi ya kondoo?
Ukweli ni kwamba chadema mna chuki saana,
Lakini kazi ya mchawi ni chuki, na hiyo chuki imemfanya mchawi kuwa mtu wa shida miaka yote,
sasa chadema nawafananisha na mchawi,
Hizo chuki zenu mtabaki hapohapo hadi dunia inaisha.
Mtapambana na CCM n ipo siku mtakuta chama kingine kimewapita sasa badala ya kupambana na CCM mtaanza kupambana ni viama vingine ambavyo vimewazidi wabunge.
Ni ushauli tu.
 
No hate na fear mmeisahau? Au kwa kua haikutoka mioni mwenu bali kwa chui mwenye ngozi ya kondoo?
Ukweli ni kwamba chadema mna chuki saana,
Lakini kazi ya mchawi ni chuki, na hiyo chuki imemfanya mchawi kuwa mtu wa shida miaka yote,
sasa chadema nawafananisha na mchawi,
Hizo chuki zenu mtabaki hapohapo hadi dunia inaisha.
Mtapambana na CCM n ipo siku mtakuta chama kingine kimewapita sasa badala ya kupambana na CCM mtaanza kupambana ni viama vingine ambavyo vimewazidi wabunge.
Ni ushauli tu.

Cdm haishindani kukupita chama fulani, bali cdm inasaka ridhaa ya wananchi kukaa madarakani kwa ridhaa yao. Idadi ya wabunge wanashindania vyama vilivyoamua kuwa michepuko ya ccm.
 
Hili jambo linaulizwa kwa chini chini na watu wengi sana, lakini mimi najitokeza hadharani kuomba majibu yenu. Hii ni kwa sababu mikutano iliyopita ya chama hiki ilikuwa na mvuto na msisimko wa kipekee.

Mkutano wa Mkuu wa CCM wa mwaka 2010 ulikuwa na msisimko mkubwa sana kutokana na Kampeni ya Kuondoa KOFIA MBILI. Kwa maana ya kutenganishwa kwa Urais na Uenyekiti wa CCM. Hii kampeni ilikuja kuzimwa kiakili sana.

Mwaka 2015 yote yaliyotokea nyote mnayakumbuka. Wapambe wa Membe akiwemo Riziwani na Mama'ake waliopambana kufa na kupona kumtafutia kura Membe huku wakipambana na akina Mgeja na kundi la Friends of Lowassa vilifanya Mkutano mkuu huo wa CCM kuleta msisimko wa aina yake; yaliyokuja kujili baada ya mchakato huo wote mnakumbuka hatimaye Lowassa akang'oka CCM.

Bali mkutano wa 2020 yote haya yamekosekana. Wajumbe wanaugulia ndani kwa ndani huku wakijawa hofu kubwa mno, badala ya furaha imekuwa kama mkutano wa Maombolezo!
 
League Bingwa Alishajulikana Kinachongojwa Ni Team Za Kushuka Daraja, Kama Serukamba, Albert Ntabaliba Na Watu Aina Hiyo
 
Mpambano ungekuwa mkali kama Membe angepewa form ya kugombea URAIS pia; sasa jamaa wameweka mpira kwapani ndio maana hakuna msisimko!!
 
Hili jambo linaulizwa kwa chini chini na watu wengi sana , lakini mimi najitokeza hadharani kuomba majibu yenu , hii ni kwa sababu mikutano iliyopita ya chama hiki ilikuwa na mvuto na msisimko wa kipekee .

Mkutano wa Mkuu wa CCM wa mwaka 2010 ulikuwa na msisimko mkubwa sana kutokana na Kampeni ya Kuondoa KOFIA MBILI , Kwa maana ya kutenganishwa kwa Urais na Uenyekiti wa ccm , hii kampeni ilikuja kuzimwa kiakili sana .

Mwaka 2015 yote yaliyotokea nyote mnayakumbuka , wapambe wa Membe akiwemo Riziwani na Mamaake waliopambana kufa na kupona kumtafutia kura Membe huku wakipambana na Akina Mgeja na kundi la Friends of Lowass a vilifanya Mkutano mkuu huo wa ccm kuleta msisimko wa aina yake, yaliyokuja kujili baada ya mchakato huo wote mnakumbukaa hatimaye Lowassa akang'oka ccm.

Bali mkutano wa 2020 yote haya yamekosekana , wajumbe wanaugulia ndani kwa ndani huku wakijawa hofu kubwa mno , badala ya furaha imekuwa kama mkutano wa Maombolezo !
Swali fikirishi je mnajua kwamba binadamu ana akili nyingi sana ila ni mvivu wa kuzitumia na hili linapelekea tuone wengine wana akili, siyo hilo tu ambao wanaakili kuliko hao mnao dhani wanaakili kuliko hawana/hawajabahatika kupata fursa ya kuongea nyuma ya mikamera 'we do not excersize much of our brains'
 
Kuna sababu kadhaa;
Mojawapo ni kufukuzwa kwa 'mnogeshaji' chamani

Can u imagine wangekuwepo hata watano ama watatu na kura zikapigwa?hio amsha amsha yake ingekua sio ndogo
 
Wenzako uliowataja hapo wote wana vyeo, wewe vipi ndo unakitafuta au??
Boss vidole havifanani......na si lengo la kila mwanaCCM kindakindaki Kuwa na cheo...kwny siasa Kuna angle nyingi kalaghabaho
 
Nasikia kura wala hazikuhesabiwa baada ya kuona HAPANA nyingi.
Fazili muongo km tumba mbichi.....mnapenda Sana KWENDA KINYUME na UHALISIA nyinyi...
Mngekuwa Zama za Nuhu....safina ingewaacha🚣🚣
 
Back
Top Bottom