Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu wa CCM kukutana Julai 11 na 12 kumpitisha Mgombea Urais Dkt. Magufuli na kupitisha Ilani

Unamuombea mkatoliki ambae kwa dini ya mtume ni kafir au?
 
Magufuli anakiogopa mpaka kivuli chake mwenyewe kisishindane naye.
 
Tutamuomba kwa nguvu zote....
 
MMungu mkubwa Ina first name ya baba yenu na third name ndio kusudio lako Pombe hahahahaha uliemkusudia hajatajwa kamwe kwenye picha yako // imemtaja faru John na Pombe hahahahaha.
Kamwe usiitumie FARU JOHN km unaishi GHOROFANI kwi kwi kwi in Mnyika voice
 
Basi kama wenzako wameogopa uchawi kachukue wewe fomu.
 
John utanisamehe, mbona mnakuwa kama majuha? Mnakaa kupitisha nini wakati hakuna mshindani na "utamaduni" umeshatamka kuwa ni yeye? Msijigeuze club ya majuha!
Tunaenda kumteua rais wa mkoa wa zanzibar
 
Thibitisha Mungu yupo kwanza.
Najua msimamo wako kuhusu uwepo wa Mungu.

Kiranga una sauti kubwa Sana jamiiforums.

Naomba nikuulize swali.

Master J anagombea CCM ubunge kule Moshi.

Muulize swali kupotea kwa Ben Saanane anakukubali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…