Unamuombea mkatoliki ambae kwa dini ya mtume ni kafir au?CHAMA kimeshika HATAMU,dereva bora KAPATIKANA....
Kama WARUSI wameamua PUTIN aendelee, Mimi kwanini NISIOMBE MUDA UFIKE niandamane na mh. Ally Kessy TUMSHINIKIZE MWANA BORA WA AFRIKA MAGUFULI aendelee kuongoza kwa KIPINDI KINGINE baada ya 2025.....
Eeee Mwenyezi Mungu MPE AFYA NJEMA NA KUMUWEKA HAI MBUNGE WA NKASI MH ALLY KESSY.
Aaamin thumma aaamin, yaa rabbal aalamin!!
Watakaa saaana.Wanapokutana wafuasi wa Chama kinachojitambua Barani Africa macho yote yanaelekea Dodoma. Safi sana Wazungu wachache na makuwadi wao kama Zito et al wenye wivu watasubiri sana.
Kwi kwi kwi watu wanaongea HOJA weye wakimbilia VIOJA.Unamuombea mkatoliki ambae kwa dini ya mtume ni kafir au?
Mungu mkubwa Ina first name ya baba yenu na third name ndio kusudio lako Pombe hahahahaha uliemkusudia hajatajwa kamwe kwenye picha yako // imemtaja faru John na Pombe hahahahaha.Chadema cheki hapaView attachment 1488876
John PombeChadema cheki hapaView attachment 1488876
Tutamuomba kwa nguvu zote....CHAMA kimeshika HATAMU,dereva bora KAPATIKANA....
Kama WARUSI wameamua PUTIN aendelee, Mimi kwanini NISIOMBE MUDA UFIKE niandamane na mh. Ally Kessy TUMSHINIKIZE MWANA BORA WA AFRIKA MAGUFULI aendelee kuongoza kwa KIPINDI KINGINE baada ya 2025.....
Eeee Mwenyezi Mungu MPE AFYA NJEMA NA KUMUWEKA HAI MBUNGE WA NKASI MH ALLY KESSY.
Aaamin thumma aaamin, yaa rabbal aalamin!!
Usimseme mwakilishi wa Mungu afrika anaebarikiwa na maaskofu na mapadre wa tanganyika.Magufuli anakiogopa mpaka kivuli chake mwenyewe kisishindane naye.
Haya basi wanaenda kumpitisha Rais na wala sio mgombea.Wanakutana kumpitisha mgombea! Makubwa haya
Kamwe usiitumie FARU JOHN km unaishi GHOROFANI kwi kwi kwi in Mnyika voiceMMungu mkubwa Ina first name ya baba yenu na third name ndio kusudio lako Pombe hahahahaha uliemkusudia hajatajwa kamwe kwenye picha yako // imemtaja faru John na Pombe hahahahaha.
Unamuombea kafir faru John Pombe kwa Mungu yupi?Kwi kwi kwi watu wanaongea HOJA weye wakimbilia VIOJA.
Karibu FARU John mchupa mkubwa km ule wa mwenyekiti MB...
Basi kama wenzako wameogopa uchawi kachukue wewe fomu.Wazungu wengine huku wakiona ngozi nyeusi wanakutupia ndizi wakidhani wewe ni nyani.Sasa mnakaa kupitisha mgombea ambae ni mmoja .....Niliambiwa wachawi wa Gamboshi walitoa vitisho na tamko kua mtu atakae chukua fomu dhidi ya Magufuli ndani ya CCM atapotezwa kabisa.
Faru John si Pombe au wewe ni Jose?Kamwe usiitumie FARU JOHN km unaishi GHOROFANI kwi kwi kwi in Mnyika voice
Naipenda sanaNawapongeza Sana vijana wa "CLOUD" maana watakuwa hewani kutuletea matangzo live siku ya kupitishwa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dah Ila watuNawapongeza Sana vijana wa "CLOUD" maana watakuwa hewani kutuletea matangzo live siku ya kupitishwa
Tunaenda kumteua rais wa mkoa wa zanzibarJohn utanisamehe, mbona mnakuwa kama majuha? Mnakaa kupitisha nini wakati hakuna mshindani na "utamaduni" umeshatamka kuwa ni yeye? Msijigeuze club ya majuha!
Unamuombea kafir faru John Pombe kwa Mungu yupi?
Thibitisha Mungu yupo kwanza.Usimseme mwakilishi wa Mungu afrika anaebarikiwa na maaskofu na mapadre wa tanganyika.
Najua msimamo wako kuhusu uwepo wa Mungu.Thibitisha Mungu yupo kwanza.