Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,406
- 2,521
Katiba inasema 41 mimi ninayo 35 mkuuBasi kama wenzako wameogopa uchawi kachukue wewe fomu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba inasema 41 mimi ninayo 35 mkuuBasi kama wenzako wameogopa uchawi kachukue wewe fomu.
Hivi clouds nayo ni ya ccm Kama channel 10 ?Nawapongeza Sana vijana wa "CLOUD" maana watakuwa hewani kutuletea matangzo live siku ya kupitishwa
Kwani huyo col. ndiyo Halmashauri kuu?Membe kapuni!!
Tuwaogope Sana AINA YA VIONGOZI WENYE MTAZAMO WA KIZUNGU....Membe amekuwa na ushawishi gani nchi hii? Labda kwa wale ambao hawafahamu jinsi nchi zote duniani zinavyoongozwa. Membe anaweza kusimama na kusema hili limefanyika Tanzania kwa sababu mimi nilitenda hili au atatuonyesha tu jinsi alivyokuwa ananeemeka na nafasi aliyozawadiwa na JMK?
We buyu kweli yaniProfesa Lumumba wa Kenya alipata kusema katika AFRIKA VYAMA vya siasa CREDIBLE ni CCM na ANC tu kwa kuwa vina MISIMAMO KATIKA KUWACHUKULIA HATUA WOTE WATOVU WA NIDHAMU NA TARATIBU ZAKE....
Miaka 6 ILIYOPITA mh.Membe na mh.Lowassa WALIONYWA NA WAKAITWA KUJIELEZA.....
1.LOWASSA(KAJIFUNZA KAJITAMBUA KABADILIKA NA KUACHA MAZOEA).
2.MEMBE(ni yuleyule wa 2014).
JITAMBUE BADILIKA ACHA MAZOEA NA TEMBEA NA MAGUFULI 2020.
Ha ha ha UTAPATA PESA ukinipeleka nikachakatwe juisi na ice cream kiwandani kwa Bakhressa...We buyu kweli yani
Wale wasile,kikubwa kuna Uwazi wa Matumizi ya fedha,na vyeo ni muhimu kuepo Maana CCM ni taasisi kubwa,aiwezi kuongozwa na mtu mmoja tuu km chama cha Mbowe........CCM nao wana tu vyeo twa kupeana ulaji.
Eti Katibu wa Siasa. Kazi ambayo kimsingi anaweza ifanya Katibu mkuu na naibu wake. Hao Makatibu nao wana vikao chungu tele,posho mlima na mashangingi.
Katiba ya CCM na yenyewe ipo kiulaji ulaji.
TAASISI iliyosheheni watendaji kutoka MASHINANI Tanzania nzima Leo hii ISIGATUE utendaji kwa kuwa na wasaidizi wengi?!! Kweli wanachama wa CDM mapopoma....Wale wasile,kikubwa kuna Uwazi wa Matumizi ya fedha,na vyeo ni muhimu kuepo Maana CCM ni taasisi kubwa,aiwezi kuongozwa na mtu mmoja tuu km chama cha Mbowe........
Tatizo lenu hamtaki kukubali kuwa MIAKA 10 YA MH.DR SHEIN INAKWSHA ndio Maana wengi WAMEJITOKEZA ZANZIBAR....niambie NI watia Nia wangapi walijitokeza huko Zanzibar miaka 5 iliyopita?!!!!Angechukua fomu hata mwingine huku bara walau wa kuzugia.......haka kamfumo kakiendelezwa, hakuna rangi itaachwa kuonwa.
Ka mfumo kanakojenga nidhamu ya wogaAngechukua fomu hata mwingine huku bara walau wa kuzugia.......haka kamfumo kakiendelezwa, hakuna rangi itaachwa kuonwa.
Kamfumo bora ambako kanatoa mwanya wa watia Nia wengi pale tu INAPOPITA MIAKA 10 TU....alasKa mfumo kanakojenga nidhamu ya woga
Hapana,mtia nia inambidi afanye registration,bila registration karatasi ni batili.Ni hiyo hiyo moja, labda Magu aamue tu kumtolea photocopy Membe.