Mkutano uliofanyika Dar es salaam tarehe 08.02.2025 na kutoa maazimio ya juu ya mgogoro wa DRC na M23 ni bure na kupoteza muda pamoja na fedha

Mkutano uliofanyika Dar es salaam tarehe 08.02.2025 na kutoa maazimio ya juu ya mgogoro wa DRC na M23 ni bure na kupoteza muda pamoja na fedha

Tatizo kubwa nimeliona pale ambapo viongozi wanamuogopa Paul Kagame. Kwahiyo wanagusa juu juu tu wanashindwa kwenda direct.

Nathubutu kusema kuwa kilichofanyika tarehe 08 ni kama mchezo wa rede tu ambao hauna mshindi.
Rais mmoja alipaswa kusema niko tayari kuingiza jeshi langu Kivu au Goma kama waasi wa m23 wataendelea kuonekana maeneo hayo.

Au lingetoka azimio la pamoja kuwataka waasi waondoke ndani ya masaa 24 vinginevyo viongozi wa nchi zote za SADC na EAC zi deploy makomando Kivu.

Kwa hali hii Kagame atatutawala sana EAST AFRICA na Afrika

Soma:Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC
Haya mambo ya diplomasia dogo
 
Kwa hiyo ulitaka utangaziwe kuwa "Rais x amezichapa na Rais y wakati wa kikao" na marais wengine wakawaamuru waache kupigana na ndipo ungeona kikao kina maana?
hv Rwanda ndo taifa la kuwaweka watu kikao ? ifike muda waafrika tuangalie mbali , hii tabia tunailea kesho Kenya ataiga , kesho Misri atafuata , hii tabia itakuwa endelevu na itasababisha bara la Afrika liingie kwa zama mbaya ambazo kuisha inaeza kuja chukua hata miaka 1000 , Rwanda ilibid iwe chambo , ukanda mzima Kusini , Mashariki na Kati tuungane kumbonda vilivyo ili wengine waache ubabe wa kishamba , Rwanda anatumia udhaif wa DRC kujimwambafai
 
Tatizo kubwa nimeliona pale ambapo viongozi wanamuogopa Paul Kagame. Kwahiyo wanagusa juu juu tu wanashindwa kwenda direct.

Nathubutu kusema kuwa kilichofanyika tarehe 08 ni kama mchezo wa rede tu ambao hauna mshindi.
Rais mmoja alipaswa kusema niko tayari kuingiza jeshi langu Kivu au Goma kama waasi wa m23 wataendelea kuonekana maeneo hayo.

Au lingetoka azimio la pamoja kuwataka waasi waondoke ndani ya masaa 24 vinginevyo viongozi wa nchi zote za SADC na EAC zi deploy makomando Kivu.

Kwa hali hii Kagame atatutawala sana EAST AFRICA na Afrika

Soma:Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC
Mimi nilijua halitakuja na anybtangible decisions. Wala sikufatilia kabisa.
 
PK anajua african prezidaa wanavyopatikana, anajua ni weupe vichwani, anasema there are idiot leaders. Anajua hakuna mtu wa kumfanya chochote
 
Mimi naona M23 ni mchanganyiko wa Wakongoman na Watusi ambao wana nia ya kuipindua serikali ya Kongo.
Najiuliza huyu Kiongozi wa M23 siyo Mkongoman kweli?
Gen.Sultan Makenga
 

Attachments

  • images (11).jpeg
    images (11).jpeg
    26 KB · Views: 1
Mimi naona M23 ni mchanganyiko wa Wakongoman na Watusi ambao wana nia ya kuipindua serikali ya Kongo.
Najiuliza huyu Kiongozi wa M23 siyo Mkongoman kweli?
Gen.Sultan Makenga
Je, una maana gani hasa unaposema kwamba "Mimi naona M23 ni mchanganyiko wa Wakongoman na Watusi" ? Nini uhusiano uliopo kati ya WaCongoman na Watusi? Nini tofaufi iliyopo Kati ya makundi haya mawili ya Watu,; WaCongoman na Watusi?
Kwani Watusi hawawezi kuwa WaCongoman?
 
DRC is a failed state.

Utawala uliopo huko upo dhaifu Sana.
Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo pia lipo dhaifu Sana kupita kiasi.

Jeshi la DRC lipo uchi wa mnyama kwa Utawala wa Rwanda.
Kuna uasi wa chini chini usiokwisha ndani ya Jeshi la DRC.

Wanajeshi wengi sana wa DRC pia ni Wapiganaji wa Siri wa M23.

Viongozi wengi wa Serikali ya DRC pia ni Mawakala wa Siri wa Utawala wa Rwanda na Vikosi vya Waasi wa M23.

Try to imagine: General Kabarebe aliwahi kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) wa nchi hiyo ya DRC, lakini baadaye Mwanajeshi huyo alihama nchi na kwenda kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) wa nchi ya Rwanda.

Wewe uliwahi kuona wapi jambo la namna hii?
Hili ndilo linaiangusha DRC. Mkataba wa Lemela ulikuwa zaidi ya kikoloni.
 
Tatizo kubwa nimeliona pale ambapo viongozi wanamuogopa Paul Kagame. Kwahiyo wanagusa juu juu tu wanashindwa kwenda direct.

Nathubutu kusema kuwa kilichofanyika tarehe 08 ni kama mchezo wa rede tu ambao hauna mshindi.
Rais mmoja alipaswa kusema niko tayari kuingiza jeshi langu Kivu au Goma kama waasi wa m23 wataendelea kuonekana maeneo hayo.

Au lingetoka azimio la pamoja kuwataka waasi waondoke ndani ya masaa 24 vinginevyo viongozi wa nchi zote za SADC na EAC zi deploy makomando Kivu.

Kwa hali hii Kagame atatutawala sana EAST AFRICA na Afrika

Soma:Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC
Kwann unaamin kila sehemu nguvu itumike ?
 
Back
Top Bottom