Mkutano wa CAF wapitisha maombi ya Zanzibar kuwa mwanachama huru

Mkutano wa CAF wapitisha maombi ya Zanzibar kuwa mwanachama huru

Mungu ibariki zanzibariiiiiiii wabaliki Viongozi wakeee Hekima Umoja na amani hizi ni ngao zetu Zanzibariii na watu wake ibariki zanzibariii ......
 
Popote tu wakasimamishe bendera yao, wawe wanachama kila shirikisho, sioni shida.

Swali ni je? Gharama hizo....atabeba nani???
Refer "UMEME".
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Hongera kwao....inakaribia miaka saba sasa tangu watume maombi yao.
Naiona Zanzibar ikifanya vizuri kuliko Tanganyika Stars!

Sasa ikitokea tunacheza nao katika mashindano ya Afcon.......timu kutoka Tanganyika itapeperusha bendera gani?
Itaimba wimbo upi wa Taifa
Wao wana wimbo wao na bendera yao,hawajaiba kama sisi tulioiba Nkosi si kereli.
 
Tulikosea kwenye katiba mpya maana ndio sehemu pekeee ambao tungeliweka mambo sawa bila kuchekwa na dunia, tukaipoteza!
Tangu 1964 safari imekuwa ya kulazimishana hadi wengine wamefia kwenye vifungo vya nyumbani, badala ya kueleza mambo ya msingi viongozi wanatumia hotuba nzima kueleza kuwa sijui nchi au sio nchi. Haya mambo inabidi yawe wazi na dalili zilivyo muungano wetu hauwezi kusurvive!
 
Shirikisho la soka barani Afrika limepitisha bila kupingwa kuwa Zanzibar ni mwanachama wa CAF. Wanakuwa wanachama wa 55.
Hawa ni baadhi ya wachezaji wenye asili ya zanzibar..wakijiandaa vizuri watakuwa na timu bora.

Mwadini ally
chollo
mwinyihaji
morris
canavaro
makapu
Mudathir yahya
Mohammed issa
Ibrahim jeba
Ame ally
Amir amour janja
Awadhi juma
Khamis mcha viali
Wachezaji Wote wanatokea bara...


Ngoja tuwafanyie fitina muozee benchi
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Great Britain *Uingereza) ni muungano wa Visiwa vya Scotland, Wales na Ireland. Hapa kila kisiwa ni mwanachama wa chama cha Mpira Ulaya; Sasa kuna ubaya gani kwa Zanzibar?
Ni kwasababu ya Uelewa Wako Muungano wetu uko Tofauti sana na Great Britain.
 
Dalili za Mvua ni mawingu hata kama mnatumia vibatari kazeni hapo hapo
 
Game kati ya Zanzibar na SISI, sisi tutajiiita Tanzania Bara kwa unafki wetu!
Ule mwaka kilimanjaro stars na zanzibar herous wamekutana kombe la challenge super sport wakionesha mubashara waliandika " Tanzania vs Zanzibar"
 
Acha ushamba mkuu! Angalia namna UK ilivyo! Wales, England na Scotland vinajitegemea! Soma uelimike sio kukariria mitihani!
 
Back
Top Bottom