Barakaeli174
Senior Member
- Aug 2, 2015
- 171
- 142
Kwani hawana wimbo wao na bendera si wanao, kwa hiyo wakienda kucheza utaimbwa wimbo wa zanzibar na bendera yao itapandishwa kumbe hamuelewi huu mchezo ulivyoHapo patamu sana.Itabidi tufanye kama UK.England,Scotland,Wales kila nchi na wimbo na bendera yake.Serikali itabidi ilitoe ufafanuzi.Hivi hawa CAF wamewasiliana na Serikali yetu kabla ya kutoa uamuzi.Naona una kila.Chembe ya kuvunja muungano wetu.