Halafu mie nawashangaa kweli hawa jamaa, don't you have any pride?Baaada ya CAF sasa watadai na dola yao kamili! Acheni kupumbazwa na fisiemu piganieni mamlaka yenu kamili msifitinishwe kwa vyam vya siasa amkeni nyie wagunya na wapemba
Kwani na hiyo CAF si iliwekewa mikwara? Mwanzo tu huo [emoji466] [emoji776] [emoji460] [emoji469] [emoji322] [emoji322] [emoji322] [emoji322] [emoji322] [emoji322] [emoji322] [emoji312] [emoji312] [emoji312] [emoji312]Hongereni,ila wa FIFA hamtapata kwa sababu Zanzibar siyo nchi - haina dola,haina mipaka nk.
Walijua mkuu, kama ulimsikiliza kocha wa taifa stars alipokua anatangaza majina ya wachezaji wa taifa stars alisema, "sijachagua mchezaji yoyote kutoka visiwani kwasababu yawezekana wakapata uanachama wa CAF, laa kama hawatapata, nitaongeza wachezaji 4 kutoka Zanzibar"TFF hawakujua nini
Itakuwa kama UKWalijua mkuu, kama ulimsikiliza kocha wa taifa stars alipokua anatangaza majina ya wachezaji wa taifa stars alisema, "sijachagua mchezaji yoyote kutoka visiwani kwasababu yawezekana wakapata uanachama wa CAF, laa kama hawatapata, nitaongeza wachezaji 4 kutoka Zanzibar"
Swali langu ni hili sasa, wale wachezaji kutoka Zanzibar wanao chezea Yanga, SImba na/au Azam, kuanzia sasa watakua wanahesabika kama walivyo kina Okwi sio?
Lazima wapewe, maana ndani wameweza, nje ni rahisiWaombe sasa na uanachama kamili FIFA, bila shaka watapewa tu.
Itaitwa hivyo hivyo yaani Tanzania, kama ilivyo Sudan na Sudan KusiniMaumivu huanza taratibu. Haya yameanzia kwenye gozi kama yatafika FIFA homa itapanda. Kimataifa sjdhani kama kuna nchi inaitwa Tanzania Bara. Sasa bandugu mtajiitaje na wengi wenu wanadai hawaijui Tanganyika?
kiti cha basi au treniZanzibar ni nchi, warudishiwe na kiti chao UN.
Karume aliwaingiza mkenge.
mwisho cuf tu hao.fifa na UN hakuna mchezo mchezo.wanakuangalia tu ni nch au mkoa bassNi jambo jema lkn kwa nionavyo ndo tunavunja Muungano wetu taratibu.....Kesho mtakuja sikia wamepewa kiti UN. hongeren waznz kwa tekinik mnayoenda nayo. Mtafaulu tu
Na sisi tutatumia upi coz itakuwa sio timu ya Tanzania tena bali TanganyikaZanzibar wanawimbo na bendera yao kabisa
Noma kweliGame kati ya Zanzibar na SISI, sisi tutajiiita Tanzania Bara kwa unafki wetu!