Mkutano wa CAF wapitisha maombi ya Zanzibar kuwa mwanachama huru

Hapo patamu sana.Itabidi tufanye kama UK.England,Scotland,Wales kila nchi na wimbo na bendera yake.Serikali itabidi ilitoe ufafanuzi.Hivi hawa CAF wamewasiliana na Serikali yetu kabla ya kutoa uamuzi.Naona una kila.Chembe ya kuvunja muungano wetu.
Kwani hawana wimbo wao na bendera si wanao, kwa hiyo wakienda kucheza utaimbwa wimbo wa zanzibar na bendera yao itapandishwa kumbe hamuelewi huu mchezo ulivyo
 
Pindi tu zanzibar walianza kuomba bendera, wakawa na wimbo na wakawa na katina nilisema hawa wanaondoka taratibu ipo siku tutajikuta wanaomba kiti UN kwakuwa wana vigezo vyote ambavyo tayari walipewa muda mrefu hakutakuwa wa kuzuia.
 
Naam!
 
Wanasiasa wa CCM
 
Kwa maoni yangu hili la kujitenga ni sawa na kula nyama ya mtu... naliangalia kwa jicho la tatu.. naona kama litaendelea tu kwenye sector zingine
 
Acha ushamba mkuu! Angalia namna UK ilivyo! Wales, England na Scotland vinajitegemea! Soma uelimike sio kukariria mitihani!
Hatukatai ispokuwa England haikuingia kama great Britain, sasa inakuwaje tanganyika kuingia kama Tanzania na flag yake ?
 
Wewe akili yako ni ndogo hivi Muungano wa Great Britain Unafanana na Muungano wa Tanzania au Unaropoka tuu.
Ndio hapo mkuu sijaona England ikiingia kwenye fifa kama Great Britain
 
 
Siasa tu

Issa hayatou alipitisha na alifuatisha kanuni ,Palestine, Hong Kong wana case kama ya ZNZ lakini ni wanachama huru wa FIFA


Jamal Malinzi hakuwapigia kura Ahmad Ahmad na Infantino msimamo wake ulikuwa wazi issa Hayatou na Blatter

Huyu Ahmad kafanya siasa tu kisa hakupigiwa kura zaidi ya hapo hakuna kanuni iliyovunjwa kwani wakati wanapitishea jopo la wanasheia ,wataalamu hawakuwepo

Siasa ndio imefanya kazi kwenye suala hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…