Wametepeta ma CCMNimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Wakubadilika ni CCM umekosea kuandika.chadema badilikeni sana watanzania si wajinga wenzenu
Uzi ni kuhusu CCM.Zingatia swali alilouliza.chadema badilikeni sana watanzania si wajinga wenzenu
Lumumba buku 7chadema badilikeni sana watanzania si wajinga wenzenu
wataijua Chadema sasaNimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Mkuu CCM ina mtaji mkubwa wa watu wanaowapigia kura na sio mashindano ya wingi wa watu kwenye mikutanoNimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Picha iko wapi?Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Ina sapoti ya polisi na thisss....lakini kwenye watu nakataaMkuu CCM ina mtaji mkubwa wa watu wanaowapigia kura na sio mashindano ya wingi wa watu kwenye mikutano
Chama gani kina mtaji mkubwa wa wanachama wanaopiga kura hapa Tanzania?Ina sapoti ya polisi na thisss....lakini kwenye watu nakataa
Jamaa wanaishi kwa ubabe wa polisi lakini hakuna mtu mwenye akili timamu anaitaka CCMNimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Bila hivyo hakuna chama ni maigizo tupuIna sapoti ya polisi na thisss....lakini kwenye watu nakataa
Aibu kubwa sana !Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola