- Thread starter
- #21
Wangekuwa na wapigakura wengi wasingekuwa wajihangaishwa na kura za wiziMkuu CCM ina mtaji mkubwa wa watu wanaowapigia kura na sio mashindano ya wingi wa watu kwenye mikutano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangekuwa na wapigakura wengi wasingekuwa wajihangaishwa na kura za wiziMkuu CCM ina mtaji mkubwa wa watu wanaowapigia kura na sio mashindano ya wingi wa watu kwenye mikutano
Chadema ilikufanya nini? Mbona kwenye uzi sijaona ikitajwa Chadema? Au uko Bar?chadema badilikeni sana watanzania si wajinga wenzenu
ukweli kbs nimekutana na gari za kisemvule to kariakoo zimejaa wanaccm wakitokea mkuranga nifujo kwakweli hii budget ya kuadaa umma inatoka wap?Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
🤣🤣🤣🤣Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Duh hela za DP World hizoCCM inatia aibu. Huku Mbopo unapewa buku 10 unai gia kwenye basi kwenda Kawe. Ku a Eicher 6 zimekuja kusomba misukule
Kwani chama dola sikinahudumia hao wote? Kwahyo lazima washirikiiiNimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
situmi vileo mkuuChadema ilikufanya nini? Mbona kwenye uzi sijaona ikitajwa Chadema? Au uko Bar?
kwani swali linasemaje mkuuUzi ni kuhusu CCM.Zingatia swali alilouliza.
CCM sasa tuna hali mbaya sana, yaani enzi za Dkt Magufuli watu walijitoa kuhudhuria mikutano ila sasa watendaji wa serikali wanalazimishwa kila mtumishi ahudhurie kikao tena kwa gharama za wahusika, hivyo migari kibao inakodiwa na kibaya kabisa mikutano imejaa pumba pumba hakuna msisimuko. Nadhani rais Samia amepotoshwa sana sijui afanyeje.Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Uongo.Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Esta na Shabiby pia zilibeba nyomiNimekutana Mbezi na Abood mbili zikiwa full sijui zimetoa wapi wale wote wametolewa wapi asubuhi ile
parkers au packers?Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Sasa wewe ulikuwepo kwenye tukio na ukayaona, sasa si ungeyapiga hata picha basi ku - justify hoja yako?Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Picha tuoneNimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola
Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini?[emoji23]Nimepita viwanja vya Tanganyika parkers Kawe nimeshtushwa na wingi wa mabasi yaliyobeba watu kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya mji wa DSM. Swali ninalo kuuliza wanajisikiaje kuhutubia umati bandia, uliosheheni watu wasiojua hata kinachoendelea na nchini? Kweli CCM ni chama dola