Mkutano wa CHADEMA Musoma

Mkutano wa CHADEMA Musoma

Mwl.RCT

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
14,624
Reaction score
20,666

Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe akiwasalimia wananchi wa Musoma mjini.

=
FnFqe55XgAMxr4a
1674392443747.jpeg

1674392459922.jpeg

1674392677570.jpeg

=
1674391392470.png

=

FnFuJ2nXkAEPum8
 
Ikiwa leo ni siku ya pili tangu kuzinduliwa kwa Mikutano ya hadhara , Chama Pekee chenye uwezo wa kufanya mikutano hiyo na kusikilizwa na wananchi , Chadema kinaendelea na ratiba yake , ambapo leo wapo kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , Mjini Musoma .

Msafara wa viongozi wa Chadema umefika Mjini Musoma kwa taabu kubwa sana , baada ya kuzuiliwa na wananchi kila walipopita , huku wananchi hao wakitaka viongozi wa Chadema watatue kero zao baada ya viongozi waliopo kushindwa

Hapa ni Simiyu maeneo ya Lamadi

FB_IMG_1674390595391.jpg
FB_IMG_1674390587771.jpg
FB_IMG_1674390581651.jpg


Hapa napo viongozi wa Chadema walizuiliwa na wananchi , hapa ni Bunda


FB_IMG_1674390447479.jpg

FB_IMG_1674390439803.jpg


Tayari Chadema wako Shule ya msingi Mkendo , ambako uwanja umejaa kiasi ambacho wananchi wanazuiliwa kuhudhuria na wameombwa wabaki majumbani , Umati ni mkubwa kuliko eneo la Mkutano , Yaani ni Mtiti si wa kawaida ,


Hivi hii Chadema ina kitu gani ambacho vyama vingine ikiwemo ccm havina ?
 
Ikiwa leo ni siku ya pili tangu kuzinduliwa kwa Mikutano ya hadhara , Chama Pekee chenye uwezo wa kufanya mikutano hiyo na kusikilizwa na wananchi , Chadema kinaendelea na ratiba yake , ambapo leo wapo kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , Mjini Musoma .

Msafara wa viongozi wa Chadema umefika Mjini Musoma kwa taabu kubwa sana , baada ya kuzuiliwa na wananchi kila walipopita , huku wananchi hao wakitaka viongozi wa Chadema watatue kero zao baada ya viongozi waliopo kushindwa

Hapa ni Simiyu maeneo ya Lamadi

View attachment 2491538View attachment 2491539View attachment 2491540

Hapa napo viongozi wa Chadema walizuiliwa na wananchi , hapa ni Bunda


View attachment 2491542
View attachment 2491543

Tayari Chadema wako Shule ya msingi Mkendo , ambako uwanja umejaa kiasi ambacho wananchi wanazuiliwa , Umati ni mkubwa kuliko eneo la Mkutano .
Kukichwa kutapambazuka! Hatimaye mawio yanaanza kutamalaki.. Mungu Ibariki CHADEMA [emoji1545]
 
Ikiwa leo ni siku ya pili tangu kuzinduliwa kwa Mikutano ya hadhara , Chama Pekee chenye uwezo wa kufanya mikutano hiyo na kusikilizwa na wananchi , Chadema kinaendelea na ratiba yake , ambapo leo wapo kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , Mjini Musoma .

Msafara wa viongozi wa Chadema umefika Mjini Musoma kwa taabu kubwa sana , baada ya kuzuiliwa na wananchi kila walipopita , huku wananchi hao wakitaka viongozi wa Chadema watatue kero zao baada ya viongozi waliopo kushindwa

Hapa ni Simiyu maeneo ya Lamadi

View attachment 2491538View attachment 2491539View attachment 2491540

Hapa napo viongozi wa Chadema walizuiliwa na wananchi , hapa ni Bunda


View attachment 2491542
View attachment 2491543

Tayari Chadema wako Shule ya msingi Mkendo , ambako uwanja umejaa kiasi ambacho wananchi wanazuiliwa , Umati ni mkubwa kuliko eneo la Mkutano .
Hao wananchi walikua wapi waki Magufuli anapinga marufuku mikutano ya vyama vya siasa......waTz ni nyepesi kutawa kwabb ni waoga sana
 
Ikiwa leo ni siku ya pili tangu kuzinduliwa kwa Mikutano ya hadhara , Chama Pekee chenye uwezo wa kufanya mikutano hiyo na kusikilizwa na wananchi , Chadema kinaendelea na ratiba yake , ambapo leo wapo kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , Mjini Musoma .

Msafara wa viongozi wa Chadema umefika Mjini Musoma kwa taabu kubwa sana , baada ya kuzuiliwa na wananchi kila walipopita , huku wananchi hao wakitaka viongozi wa Chadema watatue kero zao baada ya viongozi waliopo kushindwa

Hapa ni Simiyu maeneo ya Lamadi

View attachment 2491538View attachment 2491539View attachment 2491540

Hapa napo viongozi wa Chadema walizuiliwa na wananchi , hapa ni Bunda


View attachment 2491542
View attachment 2491543

Tayari Chadema wako Shule ya msingi Mkendo , ambako uwanja umejaa kiasi ambacho wananchi wanazuiliwa , Umati ni mkubwa kuliko eneo la Mkutano .
Vipi leo Mwenyekiti hajatupia vyombo? Maana jana pale Furahisha alikuwa tilalila aka nani kamwaga pombe yangu. Naulizaaa
 


Zitto na wachawi wenzie akina Mkandala na Bernadeta Killian wakiona haya roho zinawauma sana...

Zitto ndo alikua kupe wa kupeleka maneno ya uchonganishi kwa Hangaya ili awakatae CHADEMA kiko wapi?

Roho mbaya, tamaa na shirki zitamuua yule mtoto.
 
Maji ya kwenye kifuu chungu kaona bahari.Si mshangai Mwenyekiti kasoma alama za nyakati.
 
Hatuji mtufuate huku huku Bar tuongee vizuri .
 
Back
Top Bottom