Mkutano wa CHADEMA Musoma

Mkutano wa CHADEMA Musoma

326694126_1578545629282827_1697043451121438678_n.jpg
 
Nimejifunza kitu juu ya Tanzania. Hakuna katiba wala sheria mbele ya rais na chama tawala. Kauli atakayo isema rais inafunika katiba na sheria. Hii ni hatari sana

Uko sahihi kabisa, cha kushangaza hata taasisi zinazopaswa kutekeleza sheria, hutii chochote atakacho rais hata kama ni kinyume cha sheria. Kenya kwenye hili wamefanikiwa sana.
 
Nimejifunza kitu juu ya Tanzania. Hakuna katiba wala sheria mbele ya rais na chama tawala. Kauli atakayo isema rais inafunika katiba na sheria. Hii ni hatari sana
Rais ni zaidi ya katiba hapa Tz
 
Ikiwa leo ni siku ya pili tangu kuzinduliwa kwa Mikutano ya hadhara , Chama Pekee chenye uwezo wa kufanya mikutano hiyo na kusikilizwa na wananchi , Chadema kinaendelea na ratiba yake , ambapo leo wapo kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , Mjini Musoma .

Msafara wa viongozi wa Chadema umefika Mjini Musoma kwa taabu kubwa sana , baada ya kuzuiliwa na wananchi kila walipopita , huku wananchi hao wakitaka viongozi wa Chadema watatue kero zao baada ya viongozi waliopo kushindwa

Hapa ni Simiyu maeneo ya Lamadi

View attachment 2491538View attachment 2491539View attachment 2491540

Hapa napo viongozi wa Chadema walizuiliwa na wananchi , hapa ni Bunda


View attachment 2491542
View attachment 2491543

Tayari Chadema wako Shule ya msingi Mkendo , ambako uwanja umejaa kiasi ambacho wananchi wanazuiliwa kuhudhuria na wameombwa wabaki majumbani , Umati ni mkubwa kuliko eneo la Mkutano , Yaani ni Mtiti si wa kawaida ,


Hivi hii Chadema ina kitu gani ambacho vyama vingine ikiwemo ccm havina ?
Kamanda embu jaribu kumdodosa siku Moja mhe mkiti mbowe kuwa wakati wajadiliana kuuanzishwa kwa hiki chama siku hiyo walikula nn ??? Maana sio kwa upendo huo mkuu ...chama kilichokaa bila kufanya mikutano kwa Miaka 7 kinakuja kukifunika chama ambacho kina serikali kiasi hiki ??? Daaah hapana aiseee [emoji23][emoji23][emoji23] ...
Hiki chama nadhani wkt wanakianzisha walitumia ngekewa ktk kuliandika jina la chama ... Mnyama ngekewa alitumika kwenye kuandika jina CHAMA cha DEMOKRASIA na MAENDELEO ( CHADEMA ) ... Na siku hiyo wajumbe walikula chips kuku wa kienyeji .. wali kuku na pilau kuku ...wakashushia na Pepsi bariiiiidi ....
 
Wingi wa watu kwenye mikutano ya CHADEMA maana yake ni kwamba wsnanchi wana kiu ya fikra mbadala kushika hatamu za nchi.

CCM yangu endeleeni kugawana vyeo lakini mwisho wetu si mbali
Ccm hatutegemei sanduku la kura pekee ili kupata ushindi.
 
Kamanda embu jaribu kumdodosa siku Moja mhe mkiti mbowe kuwa wakati wajadiliana kuuanzishwa kwa hiki chama siku hiyo walikula nn ??? Maana sio kwa upendo huo mkuu ...chama kilichokaa bila kufanya mikutano kwa Miaka 7 kinakuja kukifunika chama ambacho kina serikali kiasi hiki ??? Daaah hapana aiseee [emoji23][emoji23][emoji23] ...
Hiki chama nadhani wkt wanakianzisha walitumia ngekewa ktk kuliandika jina la chama ... Mnyama ngekewa alitumika kwenye kuandika jina CHAMA cha DEMOKRASIA na MAENDELEO ( CHADEMA ) ... Na siku hiyo wajumbe walikula chips kuku wa kienyeji .. wali kuku na pilau kuku ...wakashushia na Pepsi bariiiiidi ....
Hii ni ajabu sana
 
Back
Top Bottom