OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya NiokoChadema imetangaza kwamba hii mikutano itavurumishwa moja kwa moja bila kukoma hadi itakapokabidhiwa nchi 2025
Njooni na Songea,,Mnaumia Mnateseka Arusha Mbeya Tunapiga jaramba nikushambulia mpaka sisimizi waandamane....
Gete gete hapo ndo HOME !!!!!!
Mpaka Namtumbo na TunduruNjooni na Songea,,
Hapa ndo kwa kina Earthmover hatunaga Kazi mbovu
Safi sanaHapa ndo kwa kina Earthmover hatunaga Kazi mbovu
Nimejifunza kitu juu ya Tanzania. Hakuna katiba wala sheria mbele ya rais na chama tawala. Kauli atakayo isema rais inafunika katiba na sheria. Hii ni hatari sana
Wale chawa wa marehemu wanaumia sana kuona nyomi kama hii njiani
Mukuye mukuye mukuyeeeeHapo tunatest tu Kazi inakuyaaa
Rais ni zaidi ya katiba hapa TzNimejifunza kitu juu ya Tanzania. Hakuna katiba wala sheria mbele ya rais na chama tawala. Kauli atakayo isema rais inafunika katiba na sheria. Hii ni hatari sana
Kamanda embu jaribu kumdodosa siku Moja mhe mkiti mbowe kuwa wakati wajadiliana kuuanzishwa kwa hiki chama siku hiyo walikula nn ??? Maana sio kwa upendo huo mkuu ...chama kilichokaa bila kufanya mikutano kwa Miaka 7 kinakuja kukifunika chama ambacho kina serikali kiasi hiki ??? Daaah hapana aiseee [emoji23][emoji23][emoji23] ...Ikiwa leo ni siku ya pili tangu kuzinduliwa kwa Mikutano ya hadhara , Chama Pekee chenye uwezo wa kufanya mikutano hiyo na kusikilizwa na wananchi , Chadema kinaendelea na ratiba yake , ambapo leo wapo kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , Mjini Musoma .
Msafara wa viongozi wa Chadema umefika Mjini Musoma kwa taabu kubwa sana , baada ya kuzuiliwa na wananchi kila walipopita , huku wananchi hao wakitaka viongozi wa Chadema watatue kero zao baada ya viongozi waliopo kushindwa
Hapa ni Simiyu maeneo ya Lamadi
View attachment 2491538View attachment 2491539View attachment 2491540
Hapa napo viongozi wa Chadema walizuiliwa na wananchi , hapa ni Bunda
View attachment 2491542
View attachment 2491543
Tayari Chadema wako Shule ya msingi Mkendo , ambako uwanja umejaa kiasi ambacho wananchi wanazuiliwa kuhudhuria na wameombwa wabaki majumbani , Umati ni mkubwa kuliko eneo la Mkutano , Yaani ni Mtiti si wa kawaida ,
Hivi hii Chadema ina kitu gani ambacho vyama vingine ikiwemo ccm havina ?
Mamako kapumzika kwa baba'ko?Sawa lakini Mbowe apumzike.
Ccm hatutegemei sanduku la kura pekee ili kupata ushindi.Wingi wa watu kwenye mikutano ya CHADEMA maana yake ni kwamba wsnanchi wana kiu ya fikra mbadala kushika hatamu za nchi.
CCM yangu endeleeni kugawana vyeo lakini mwisho wetu si mbali
Hii ni ajabu sanaKamanda embu jaribu kumdodosa siku Moja mhe mkiti mbowe kuwa wakati wajadiliana kuuanzishwa kwa hiki chama siku hiyo walikula nn ??? Maana sio kwa upendo huo mkuu ...chama kilichokaa bila kufanya mikutano kwa Miaka 7 kinakuja kukifunika chama ambacho kina serikali kiasi hiki ??? Daaah hapana aiseee [emoji23][emoji23][emoji23] ...
Hiki chama nadhani wkt wanakianzisha walitumia ngekewa ktk kuliandika jina la chama ... Mnyama ngekewa alitumika kwenye kuandika jina CHAMA cha DEMOKRASIA na MAENDELEO ( CHADEMA ) ... Na siku hiyo wajumbe walikula chips kuku wa kienyeji .. wali kuku na pilau kuku ...wakashushia na Pepsi bariiiiidi ....
Aisee tumetisa sanaNdio mana makijani yalitumia dola kuwakandamiza,chadema ina nguvu sana,watu wanahitaji mabadiliko.
Bila mbeleko ya dola kijani ni wepesi sana.