Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtanuna mwaka huuCHADEMA ipo kwenye freefall.
🤣🤣🤣Apo asilimia kubwa wamelewa,ndio mana wanaogopa sana kipimo cha mkojo
pole naona umeumiaSamson alipozidiwa akatoa Siri
Sio siri inawauma sanapole naona umeumia
Countrywide anasemaje juhudi nyomi hii?Samson alipozidiwa akatoa Siri
VERY TRUEkWa kishindo hiki naishangaa The Deep State wanachaje kuwapa Wananchi wanachotaka.
Ndio Maana Tanzanua haipati maendeleo. Wananchi wanashirikiana na viongozi wanaopenda sio wa kubambika tu.
Tunaanza upyaaaa.... in bwege's voiceKesho TARIME kinawaka .....TUMERUDI!!!
Tangu juzi nimeshuhudia wanaccm wakifatilia mikutano ya chadema kuliko hata wananchi wasio na vyamaCountrywide anasemaje juhudi nyomi hii?
Ndo tushangae sasa.Tangu juzi nimeshuhudia wanaccm wakifatilia mikutano ya chadema kuliko hata wananchi wasio na vyama
Mungu yabariki maridhiano Ili pasiwepo na hadaa mbeleni.Ikiwa leo ni siku ya pili tangu kuzinduliwa kwa Mikutano ya hadhara , Chama Pekee chenye uwezo wa kufanya mikutano hiyo na kusikilizwa na wananchi , Chadema kinaendelea na ratiba yake , ambapo leo wapo kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , Mjini Musoma .
Msafara wa viongozi wa Chadema umefika Mjini Musoma kwa taabu kubwa sana , baada ya kuzuiliwa na wananchi kila walipopita , huku wananchi hao wakitaka viongozi wa Chadema watatue kero zao baada ya viongozi waliopo kushindwa
Hapa ni Simiyu maeneo ya Lamadi
View attachment 2491538View attachment 2491539View attachment 2491540
Hapa napo viongozi wa Chadema walizuiliwa na wananchi , hapa ni Bunda
View attachment 2491542
View attachment 2491543
Tayari Chadema wako Shule ya msingi Mkendo , ambako uwanja umejaa kiasi ambacho wananchi wanazuiliwa kuhudhuria na wameombwa wabaki majumbani , Umati ni mkubwa kuliko eneo la Mkutano , Yaani ni Mtiti si wa kawaida ,
Hivi hii Chadema ina kitu gani ambacho vyama vingine ikiwemo ccm havina ?
CHADEMA kina nguvu sana ground.Tulionya Mapema sana ....kama hukuwahi kuona Moto wa Mbugani chini kwa chini ndoo huu.....
Mlipo tusimamisha Tulisambaa kama siafu ndani kwa ndani
Jiandaeni kuaga Majimbo mpaka kwenye VITONGOJI....TUMERUDI!!!!
Hapumziki Mbowe.Sawa lakini Mbowe apumzike.
Hadi Aljazeera walituma reporter kuifuatilia mkutano?
Ndugu TINDO kama unaamini hivyo,Uko sahihi kabisa, cha kushangaza hata taasisi zinazopaswa kutekeleza sheria, hutii chochote atakacho rais hata kama ni kinyume cha sheria. Kenya kwenye hili wamefanikiwa sana.
Upumbavu huu,ulevi haupimwi kwa kutumia mkojo, ulevi ni alcohol breathalyzer au damu, hivi ndivyo vinaweza kupimwa ili kujua kiwango cha pombe kilichomo mwilini mwako...nenda shule tenaApo asilimia kubwa wamelewa,ndio mana wanaogopa sana kipimo cha mkojo
AmeenMungu yabariki maridhiano Ili pasiwepo na hadaa mbeleni.
Aamen.
Aljazeera waki report mikutano ya chama chenye ushawishi duniani