Mkutano wa CHADEMA Musoma

Mkutano wa CHADEMA Musoma

kWa kishindo hiki naishangaa The Deep State wanachaje kuwapa Wananchi wanachotaka.

Ndio Maana Tanzanua haipati maendeleo. Wananchi wanashirikiana na viongozi wanaopenda sio wa kubambika tu.
VERY TRUE
 
Ikiwa leo ni siku ya pili tangu kuzinduliwa kwa Mikutano ya hadhara , Chama Pekee chenye uwezo wa kufanya mikutano hiyo na kusikilizwa na wananchi , Chadema kinaendelea na ratiba yake , ambapo leo wapo kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo , Mjini Musoma .

Msafara wa viongozi wa Chadema umefika Mjini Musoma kwa taabu kubwa sana , baada ya kuzuiliwa na wananchi kila walipopita , huku wananchi hao wakitaka viongozi wa Chadema watatue kero zao baada ya viongozi waliopo kushindwa

Hapa ni Simiyu maeneo ya Lamadi

View attachment 2491538View attachment 2491539View attachment 2491540

Hapa napo viongozi wa Chadema walizuiliwa na wananchi , hapa ni Bunda


View attachment 2491542
View attachment 2491543

Tayari Chadema wako Shule ya msingi Mkendo , ambako uwanja umejaa kiasi ambacho wananchi wanazuiliwa kuhudhuria na wameombwa wabaki majumbani , Umati ni mkubwa kuliko eneo la Mkutano , Yaani ni Mtiti si wa kawaida ,


Hivi hii Chadema ina kitu gani ambacho vyama vingine ikiwemo ccm havina ?
Mungu yabariki maridhiano Ili pasiwepo na hadaa mbeleni.

Aamen.
 
Tulionya Mapema sana ....kama hukuwahi kuona Moto wa Mbugani chini kwa chini ndoo huu.....

Mlipo tusimamisha Tulisambaa kama siafu ndani kwa ndani

Jiandaeni kuaga Majimbo mpaka kwenye VITONGOJI....TUMERUDI!!!!
CHADEMA kina nguvu sana ground.

Watu wanajitolea sana Kwa Chama.

Blessed be them.
 
Uko sahihi kabisa, cha kushangaza hata taasisi zinazopaswa kutekeleza sheria, hutii chochote atakacho rais hata kama ni kinyume cha sheria. Kenya kwenye hili wamefanikiwa sana.
Ndugu TINDO kama unaamini hivyo,

Suala la KATIBA mpya tunaweza kuipata Kwa Amani ikiwa Rais atapenda Ipatikane Kwa njia hiyo Kwa mamlaka makubwa aliyonayo?
 
Apo asilimia kubwa wamelewa,ndio mana wanaogopa sana kipimo cha mkojo
Upumbavu huu,ulevi haupimwi kwa kutumia mkojo, ulevi ni alcohol breathalyzer au damu, hivi ndivyo vinaweza kupimwa ili kujua kiwango cha pombe kilichomo mwilini mwako...nenda shule tena
 
Back
Top Bottom