Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Mnaumia Mnateseka Arusha Mbeya Tunapiga jaramba nikushambulia mpaka sisimizi waandamane....Apo asilimia kubwa wamelewa,ndio mana wanaogopa sana kipimo cha mkojo
Wingi wa watu kwenye mikutano ya CHADEMA maana yake ni kwamba wsnanchi wana kiu ya fikra mbadala kushika hatamu za nchi.
Unateseka sana yule munguwenu....Samson alipozidiwa akatoa Siri
Wanaoteseka ni Godbless na AntipasUnateseka sana yule munguwenu....
Na nyie mnaogopa sana kupimwa marindaApo asilimia kubwa wamelewa,ndio mana wanaogopa sana kipimo cha mkojo
Nasikia Lumumba kimeumana paruwaneni tu...Wanaoteseka ni Godbless na Antipas
Miye CCM niteseke na nini?
Hapa Tandale ACT Wazalendo Wana maandalizi ya kupokea mgeniNasikia Lumumba kimeumana paruwaneni tu...
Nimecheka kinyamaTayari Chadema wako Shule ya msingi Mkendo , ambako uwanja umejaa kiasi ambacho wananchi wanazuiliwa kuhudhuria na wameombwa wabaki majumbani ,
Upo sahihi kabisaNimejifunza kitu juu ya Tanzania. Hakuna katiba wala sheria mbele ya rais na chama tawala. Kauli atakayo isema rais inafunika katiba na sheria. Hii ni hatari sana
Chadema imetangaza kwamba hii mikutano itavurumishwa moja kwa moja bila kukoma hadi itakapokabidhiwa nchi 2025Tulionya Mapema sana ....kama hukuwahi kuona Moto wa Mbugani chini kwa chini ndoo huu.....
Mlipo tusimamisha Tulisambaa kama siafu ndani kwa ndani
Jiandaeni kuaga Majimbo mpaka kwenye VITONGOJI....TUMERUDI!!!!
πππππππ..Kuota bwanaTulionya Mapema sana ....kama hukuwahi kuona Moto wa Mbugani chini kwa chini ndoo huu.....
Mlipo tusimamisha Tulisambaa kama siafu ndani kwa ndani
Jiandaeni kuaga Majimbo mpaka kwenye VITONGOJI....TUMERUDI!!!!
Hapo tunatest tu Kazi inakuyaaaπππππππ..Kuota bwana