Mkutano wa CHADEMA VS Mapokezi ya Mandonga: Kwa nini Mandonga kapata watu wengi zaidi?

Mkutano wa CHADEMA VS Mapokezi ya Mandonga: Kwa nini Mandonga kapata watu wengi zaidi?

View attachment 2491066

View attachment 2491067

Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.

Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.

Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.

Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.

Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?

2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?

3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?

4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?

Uko sahihi kabisa, je unaweza kutupa kwa uhakika idadi iliyokuwa kwenye mkutano wa CDM, na mapokezi ya Mandonga? Au hii propaganda ndio matamanio ya kila mwanaccm?
 
Mleta mada ni wale wa kikundi kile kinachotaka Mbowe angatuliwe ili chama kiongozwe na viongozi wao wanao mpiga vita Mbowe.

Utasikia kalamba asali, na kumaingizia kalewa ndio maana kamshukuru Raisi samia.

Huu ni upotovu na siasa chafu
 
Tumia akili kabla hujaposti kitu kenge wewe. Unadhani smartphone unamiliki wewe na mamako tu?
20230122_201644.jpg
20230122_201642.jpg
20230122_201639.jpg
20230122_201637.jpg
20230122_173224.jpg
20230122_173221.jpg
20230122_163422.jpg
20230122_162143.jpg
20230122_161637.jpg
 
Sema unachotaka kusema, sio unajizungusha zugusha kama unakula ugali na mlenda wa tabora
Kwani matukio hayo yalikuwa yanatokea mji mmoja. Kama ni mikoa tofauti ulinganisho wako hauna maana na hujui ulichokiandika
 
Kwani matukio hayo yalikuwa yanatokea mji mmoja. Kama ni mikoa tofauti ulinganisho wako hauna maana na hujui ulichokiandika
Duu wee jamaa mbona akili yako nzito ivi. Umeelewa kweli nlichoandika
 
View attachment 2491066

View attachment 2491067

Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.

Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.

Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.

Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.

Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?

2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?

3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?

4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?

CHADEMA inawanyima Sana raha. Kila mtu anatumia ujinga wake kuikandia CHADEMA. Ngoja tuone mwisho.
 
Bila hao wajinga unafikiri hata hiyo mikutano ya kisiasa itapata watu? Ni wachache sana wenye uelewa ndio wapo kwenye hiyo mikutano ila wengi wanaenda kushangaa tu ilimradi kukusanyika.

Punguza dharau. Usijione umefika.
 
View attachment 2491066

View attachment 2491067

Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.

Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.

Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.

Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.

Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?

2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?

3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?

4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?
Tuambie, Mkutano wa CHADEMA umehudhuriwa na watu wangapi? Na mapokezi ya Mandonga yalikuwa na watu wangapi?
 
Back
Top Bottom