stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Onazungumzia Hennessy au sio si wazee wa viri virefu mekuelewa, waiiiitermwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onazungumzia Hennessy au sio si wazee wa viri virefu mekuelewa, waiiiitermwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali
Kwa mila za kitanzania mwanamke hatongozi wanaume,hapa anajitongozeshaSema unachotaka kusema, sio unajizungusha zugusha kama unakula ugali na mlenda wa tabora
Sema unachotaka kusema, sio unajizungusha zugusha kama unakula ugali na mlenda wa tabora
Jana Chadema hawakuthubutu kutamka jina Magufuli pale Mwanza.
Matusi yao na kejeli kwa Magufuli mwisho wake ni twitter na jamiiforum wangejua hawajui wangemtusi JPM [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2491066
View attachment 2491067
Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.
Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.
Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.
Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.
Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?
2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?
3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?
4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?
Kwani matukio hayo yalikuwa yanatokea mji mmoja. Kama ni mikoa tofauti ulinganisho wako hauna maana na hujui ulichokiandikaSema unachotaka kusema, sio unajizungusha zugusha kama unakula ugali na mlenda wa tabora
Duu wee jamaa mbona akili yako nzito ivi. Umeelewa kweli nlichoandikaKwani matukio hayo yalikuwa yanatokea mji mmoja. Kama ni mikoa tofauti ulinganisho wako hauna maana na hujui ulichokiandika
Zipo zinaishi hususan kwa familia za Ben Saanane, Azory Gwanda na Watanzania wengine wengi.wananchi waliona uongozi wa JPM alama zake zipo zinaishi.
A picture speaks thousand words.Tumia akili kabla hujaposti kitu kenge wewe. Unadhani smartphone unamiliki wewe na mamako tu?View attachment 2493345View attachment 2493346View attachment 2493347View attachment 2493348View attachment 2493349View attachment 2493351View attachment 2493352View attachment 2493353View attachment 2493354View attachment 2493357
View attachment 2491066
View attachment 2491067
Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.
Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.
Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.
Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.
Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?
2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?
3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?
4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?
Jana Chadema hawakuthubutu kutamka jina Magufuli pale Mwanza.
Matusi yao na kejeli kwa Magufuli mwisho wake ni twitter na jamiiforum wangejua hawajui wangemtusi JPM 🤣🤣🤣🤣🤣
namuona JPM akiendelea kutajwa sana kwenye majukwaa kwa pande zote upinzani na chama twawala.
Chadema wanaigiza mandonga ni mhalisia
Kwa sasa Mandonga ni mkubwa kuliko CHADEMA
Bila hao wajinga unafikiri hata hiyo mikutano ya kisiasa itapata watu? Ni wachache sana wenye uelewa ndio wapo kwenye hiyo mikutano ila wengi wanaenda kushangaa tu ilimradi kukusanyika.
Tuambie, Mkutano wa CHADEMA umehudhuriwa na watu wangapi? Na mapokezi ya Mandonga yalikuwa na watu wangapi?View attachment 2491066
View attachment 2491067
Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.
Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.
Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.
Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.
Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?
2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?
3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?
4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?