Mkutano wa CHADEMA VS Mapokezi ya Mandonga: Kwa nini Mandonga kapata watu wengi zaidi?

Mkutano wa CHADEMA VS Mapokezi ya Mandonga: Kwa nini Mandonga kapata watu wengi zaidi?

View attachment 2491066

View attachment 2491067

Wiki hii kumekuwa na matukio mawili yaliyokusanya watu.

Tukio la kwanza ni la bondia Mandonga ambaye alipokellewa na maelfu ya watu wa Morogoro.

Tukio lingine ni mkutano wa Chadema uko Mwanza ambao mwenyekiti alitoa hotuba akiwa chakali.

Kilichoshanzaga watu ni Mandonga kupata watu wengi kwenye tukio lake kuliko chama cha kisiasa kilichofanya tukio la kitaifa.

Hii maana yake nini?
1. Je upinzani umekosa mvuto?

2. Kanda ya ziwa wamechukizwa na siasa za Chadema za kuwashambulia (sukuma gang)?

3. Mbowe amelamba asali hivyo hana cha kupoteza tena kuiweka Chadema kaburini?

4. Michezo ina nguvu kuliko siasa, watu wamekata tamaa na wanasiasa?

Weka picha zote za mwanza na musoma sio unaleta kapicha ka efm ndio ushahidi wako. Mlisema CHADEMA haitafanya mkutano Kanda ya Ziwa , imeanza kufanya mmekimbilia kwa Mandonga. Tuoneshe Mandonga ana watu wangapi na mwanza na musoma CHADEMA Ina watu wa ngapi.
 
Jana Chadema hawakuthubutu kutamka jina Magufuli pale Mwanza.
Matusi yao na kejeli kwa Magufuli mwisho wake ni twitter na jamiiforum wangejua hawajui wangemtusi JPM 🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo jpm aliitwa chizi na Dialo hukohiko Mwanza msiwasingizie cdm
 
Punguza dharau. Usijione umefika.
Sio dharau huo ndio ukweli, kama tuseme tuwajoji hao watu walichoelewa baada ya kusikiliza mkutano basi wengi wataongea utumbo yani wanajaa tu hapo kushangaa hawana uelewa wowote.
 
Back
Top Bottom