Mkutano wa CHADEMA VS Mapokezi ya Mandonga: Kwa nini Mandonga kapata watu wengi zaidi?


Weka picha zote za mwanza na musoma sio unaleta kapicha ka efm ndio ushahidi wako. Mlisema CHADEMA haitafanya mkutano Kanda ya Ziwa , imeanza kufanya mmekimbilia kwa Mandonga. Tuoneshe Mandonga ana watu wangapi na mwanza na musoma CHADEMA Ina watu wa ngapi.
 
Jana Chadema hawakuthubutu kutamka jina Magufuli pale Mwanza.
Matusi yao na kejeli kwa Magufuli mwisho wake ni twitter na jamiiforum wangejua hawajui wangemtusi JPM 🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo jpm aliitwa chizi na Dialo hukohiko Mwanza msiwasingizie cdm
 
Punguza dharau. Usijione umefika.
Sio dharau huo ndio ukweli, kama tuseme tuwajoji hao watu walichoelewa baada ya kusikiliza mkutano basi wengi wataongea utumbo yani wanajaa tu hapo kushangaa hawana uelewa wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…