Mkuu nadhani nafasi ya mkurugenzi wa TBC itangazwe ili mtanzania yeyote mwenye uwezo aombe na chombo huru kitumike kufanya usaili. Baada ya hapo awe anareport kwa bunge na sio rais.
Kama hii kamati imepewa uwezo wa kuendesha harambee yenyewe, basi itanunuliwa kabla hata haijaanza kazi yake. Mara ngapi tumesikia mafisadi wakiingia kwa gia za kuwa na mapenzi mapema? Kamati lazima iwezeshwe, sio kutegemea michango ya wenye mpenzi mapema bali wana JF wenyewe.Nakubaliana na wewe WoS. Kwa mamlaka niliyopewa . . . Ooops! Niliyojipa, naomba nikuteue uwe mwenyekiti wa kamati teuli ya JF juu ya suala zima la hukumu ya kifo litakalokuwa na hadidu rejea zifuatazo:
Unatakiwa uteue wanakamati 3 na uzingatie uwiano wa kijinsia na weledi. Report kamili iwe tayari siku ya Jumamosi kabla mkutano haujaisha.
- Kuangalia ni makosa gani ya Kifisadi na kuhujumu uchumi ambayo yatastahili adhabu kali
- Kujifunza kutoka kwa wenzetu Wachina ni nini hasa wanafanya na nini tunaweza kuiga katika kazingira yetu
- Kupata maoni ya Watanzania juu ya ama kuwe na hukumu ya kifo ama la kwa watakao hujumu uchumi na kama la basi adhabu mbadala iwe ipi
- Kuangalia uwezekano wa kuwa na mahakama maalumu itakayoyoshughulikia kesi za uhujumu uchumi na ufisadi kwa haraka badala ya ile ya kisutu ambayo miaka sasa kesi haziishi
- Na mengineyo ambayo kamati itaona yanafaa
Kuhusu masurufu na pesa ya safari, mnaruhusiwa kuendesha harambee na kuchangisha toka kwa wote wenye mapenzi mema.
Mwenyekiti tangu jana mimi nimenyoosha mkono umenitosa. Tatizo langu kubwa liko kwenye usimamizi wa rasilimali za taifa. Tuje ni mikakati endelevu ya kuhakikisha rasilimali tulizonazonazo kama madini, mbuga za wanyama n.k. zinaleta manufaa ya kweli kwa nchi na watanzania wa kawaida.
Kama hii kamati imepewa uwezo wa kuendesha harambee yenyewe, basi itanunuliwa kabla hata haijaanza kazi yake. Mara ngapi tumesikia mafisadi wakiingia kwa gia za kuwa na mapenzi mapema? Kamati lazima iwezeshwe, sio kutegemea michango ya wenye mpenzi mapema bali wana JF wenyewe.
Kova Please . . .
Todo . . . Naomba TBC Mkatishe Matangazo . .
Wana JF kama hamlaani kitendo hiki mimi naachia ngazi chagueni mratibu mwingine . . .
Binti wewe kabila gani kwanza? dini gani wewe? Ooops . . . kumbe tumekataa ukabila na udini . . .
Sasa dear sikiliza basi, kuwa soft kidogo ili mambo yaende mbele . . . najua unategemea kitu kidogo labda. Mimi siwezi toa. . . . niko kimaadili zaidi . . . .
Haaa haaa hapo vipi?
Unda kamati basi tufunge mjadala.
Hapo imesimama vizuri. Mpaka sasa hivi sijamfahamu katibu, kuna point za msingi zimetolewa ambazo inabidi mwisho wa siku zijumuishwe tuanze kudadavua utekelezaji wake.Mkuu niwie radhi, jana jioni kidogo nilikuwa najisikia uchovu na swaumu pia ilikuwa kali. ikabidi nikimbie kufungulia. Sasa niko fit . . .
Hoja yako makini . . . "Matumizi makini na Uendelezaji makini ya rasilimali za Taifa kwa ajili ya Manufaa ya wote"
hapo vipi?
Agenda zangu kuu 2010:
1. KUANDIKA KATIBA MPYA: Mchakato uanze ndani ya mwaka mmoja tangu kuingia madarakani. Katiba iandikwe na wadau wanaowakilisha makundi mengi iwezekanavyo. Hapa ndipo tunaweza kuweka vifungu vinavyotoa maelekezo muhimu ya jinsi ya kuongoza nchi,ulinzi wa raslimali zetu, uadilifu, vita dhidi ya ufisadi (zero tolerance kwa mafisadi), n.k.
2. ELIMU: Elimu bora kwa kila Mtanzania katika wigo mpana (ubora wa elimu, walimu, vifaa vya kufundishia, mazingira elimu inakotolea n.k.). Pia suala la utafiti na ugunduzi lipewe kipaumbele si kwa maneno tu bali kwa sera, sheria na budget.
3. KILIMO: Kilimo katika mtazamo wa uzalishaji na uendelezaji wa viwanda badala ya uchuuzi na utumikishaji wa wakulima.
4. MIUNDOMBINU: Hapa ni kuweka mkazo si kwenye wingi tu bali ubora wa miundombinu yetu.
5. ELIMU, ELIMU ELIMU, ELIMU........ ++++++++ AFYA.
Mkuu, hapo nikiongeza kitu nitakuwa nimeharibu. Zote zimekaa vizuri. Ni copy and paste tu!
Hivi Hoja ya Kuondoa Umasikini hamtaki kuiongelea?
Nampendekeza Dark City awe Katibu wa kudumu maana ameonyesha anweza kabisa hii kazi na ameshaanza kuifanya.Hapo imesimama vizuri. Mpaka sasa hivi sijamfahamu katibu, kuna point za msingi zimetolewa ambazo inabidi mwisho wa siku zijumuishwe tuanze kudadavua utekelezaji wake.
Defamation zaidi MHHH! Mwenyekiti..unaelekea pabaya zaidi! NITAKE RADHI TAFADHALI!
Napendekeza tuanzishe mfuko rasmi kwa ajili ya shughuli hii. Au unataka kwanza uunde tume ya kuangalia uwezekano wa kuwepo mfuko hii?Haaa haaa Balozi . . . toa pendekezo mbadala tafadhali maana JF hatuna pesa kwa sasa kwa kazi hii . . .
Nakuunga mkono. DC upo?Nampendekeza Dark City awe Katibu wa kudumu maana ameonyesha anweza kabisa hii kazi na ameshaanza kuifanya.
Nampendekeza Dark City awe Katibu wa kudumu maana ameonyesha anweza kabisa hii kazi na ameshaanza kuifanya.
WOS kampendekeza Dark City, nadhani atatufaa.Mkuu, ni kweli . . . pendekeza tafadhali.
Nakuunga mkono. DC upo?