Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

Mpaka pale wajumbe wa Zanzibar watakapoku watakapokuwa na wingi wa kutosha kujiamulia hatma ya Rais wao, wataendelea kuburuzwa na wajumbe wa Bara miaka yote wao wataendelee kushangilia tu, CCM juu..CCM juu...
 
CHADEMA kwa sasa wamekuwa wachambuzi wa Siasa za ndani ya CCM!

Suala la Urais wa Zanzibar ndani ya CCM kwa sasa ni hoja iliyofungwa jana.

Mtu mwenye akili timamu anajua Dk Hussein Mwinyi ni Rais mtarajiwa wa Zanzibar!
 
Ifike mda hata wale ccm maslahi waungane na wazanzibari wenzao kujikomboa kama walivyojaribu 2009 chini ya Karume Jr.
Vyenginevyo wakubali tu kutawaliwa chini ya mwinyi ni mbili kuelekea moja maana yake ndo wameyazika mapinduzi rasmi.
Yupo kwa mslahi ya waliomchagua, si mzanzibari halisi na hata hayo mapinduzi ya 1964 hayajui.
Sijui wanakwama wapi ccm wa Zanzibar jinsi wanavotumika kosa kubwa walilifanya walipounganisha ASP na TANU maamuzi yakahamia dodoma sijui wanajiaikiaje sasa inauma kwa kweli.
 
Aiseee, mbona kama ramli chonganishi hivi mkuu.
 
CHADEMA kwa sasa wamekuwa wachambuzi wa Siasa za ndani ya CCM!

Suala la Urais wa Zanzibar ndani ya CCM kwa sasa ni hoja iliyofungwa jana.

Mtu mwenye akili timamu anajua Dk Hussein Mwinyi ni Rais mtarajiwa wa Zanzibar!
Mgombea wa watanganyika
 
Una uhakika upi kuwa hizo kura 35 za hao wagombea wawili zote zimepigwa na wazanzibar pekee?
Au kura zilitaja majina pale?
Lete ushahidi kuwa wazanzibar walikuwa ni 35 pekee.
Kama wazanzibar hawamtaki kama unavosema huko kwao kwenye kura za maoni kapita pitaje hadi jina lake kuwa miongoni mwa majina 3 yaliyo letwa huku bara?
Uje na ushahidi sio porojo mkuu.
 
Kwenye mikutano huwa nasikia kauli mbiu ya "Mapinduzi Daima"....hii kauli iko siku itatimia kwa mara nyingine tena.
 
CHADEMA kwa sasa wamekuwa wachambuzi wa Siasa za ndani ya CCM!

Suala la Urais wa Zanzibar ndani ya CCM kwa sasa ni hoja iliyofungwa jana.

Mtu mwenye akili timamu anajua Dk Hussein Mwinyi ni Rais mtarajiwa wa Zanzibar!
Na hili ndio kosa kubwa wanalofanya tumeshauri mara nyingi sana humu kuwa huu sio wakati wa kuendekeza siasa za matukio kusubiri ccm wamefanya nini ndio na wao wapate hoja matokeo yake wanayumbishwa sana na siasa za ndani ya ccm.
Wasimame wao kama wao ila hiki wanachokifanya kwasasa hakina mashiko kabisa.
 
[emoji23][emoji23]

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Hivi kwann "umnyime mtu mwili wa marehemu?"
Duh

JESUS IS LORD[emoji120]
 
I'm jus thinking!
Baada ya Magu atakuja nani,na baada ya Hussein mwinyi atakuja nani tena!?

Nawaza tu yaani!

JESUS IS LORD[emoji120]
 
CHADEMA kwa sasa wamekuwa wachambuzi wa Siasa za ndani ya CCM!

Suala la Urais wa Zanzibar ndani ya CCM kwa sasa ni hoja iliyofungwa jana.

Mtu mwenye akili timamu anajua Dk Hussein Mwinyi ni Rais mtarajiwa wa Zanzibar!
Mie nadhani sio suala la CHADEMA kuwa wachambuzi wa siasa ndani ya CCM. Hapa hoja ni siasa tu, ingekuwa mahubiri ya injili si dhani kama CHADEMA wangeichambua.

Nadhani hata wewe ni mmoja wa wanojadili siasa za vyama vingine ikiwamo CHADEMA.

Tumeshuhudia kwenye chaguzi za CHADEMA namna gani chama kama CCM wamekuwa wakijadili siasa ndani ya CHADEMA huko.

Leo pia mwenyekiti katika mkutano mkuu wa CCM Dodoma pale amepiga vijembe siasa za upinzani.

Hayo ndiyo maisha ya siasa,tunajadili tu ziwe za bara,visiwani,ukanda,upinzani uchwara,upinzani.. Ili mradi hatuijadili injili kwenye siasa.

Mungu ibariki Tanzania.

Mungu mbariki Rais wetu Magufuli.

Mungu tubariki tupate viongozi sahihi katika uchaguzi mwaka huu,waweze kumsaidia Rais wetu katika ngwe yake ya mwisho kusukuma maendeleo kwa wananchi.
 
Dr Shein alikua mtu wa bara?
Fuatilia historia yake uone,hawataki mtu ambaye aliyezaliwa na kukulia zanzibar 100% ,Dr Shein alitolewa mfukoni mwa Mkapa!! Awali alikuwa hajawai kufanya/kujishughulisha na siasa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…