Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee, mbona kama ramli chonganishi hivi mkuu.Ukweli ndiyo huu kuhusu mchakato wa kupata mgombea urais wa Zanzibar kupitia CCM kwenye mkutano wa halmashauri kuu ulioketi.
Kura zote zilizopigwa ni 164
Hakuna kura iliyoharibika.
Wajumbe wa halmashauri kuu Tanzania bara walikuwa ni 129.
Wajumbe wa halmashauri kuu Tanzania visiwani walikuwa ni 35
Kura halali za Dkt. Hussein Mwinyi zilikuwa 129.
Dkt. Khalid na Vuai Nahodha wakagawana kura 35 za wajumbe wa Zanzibar.
Maendeleo hayana vyama.
Mgombea wa watanganyikaCHADEMA kwa sasa wamekuwa wachambuzi wa Siasa za ndani ya CCM!
Suala la Urais wa Zanzibar ndani ya CCM kwa sasa ni hoja iliyofungwa jana.
Mtu mwenye akili timamu anajua Dk Hussein Mwinyi ni Rais mtarajiwa wa Zanzibar!
Dr Shein alikua mtu wa bara?JMT hawamtaki Mzanzibar PASEE ,wanajua wakimchagua Mzanzibar basi muungano lazima uvunjwe!!
Una uhakika upi kuwa hizo kura 35 za hao wagombea wawili zote zimepigwa na wazanzibar pekee?Wapiga kura walikua 164, wazanzibari wako 35 katika wapiga Kura wote,
hakuna kura iliyoharibika,
129 + 35 =164,
Umegundua nini hapa ?
KURA za Dkt. Khalid 19
KURA za Shamsi 16
Jumla 35 👉🏽 Zanzibar
Hussein Mwinyi 129 zote za Bara. https://t.co/hsV8JwuDH8
means wazanzibar hawamtaki Mwinyi! johnthebaptist
Na hili ndio kosa kubwa wanalofanya tumeshauri mara nyingi sana humu kuwa huu sio wakati wa kuendekeza siasa za matukio kusubiri ccm wamefanya nini ndio na wao wapate hoja matokeo yake wanayumbishwa sana na siasa za ndani ya ccm.CHADEMA kwa sasa wamekuwa wachambuzi wa Siasa za ndani ya CCM!
Suala la Urais wa Zanzibar ndani ya CCM kwa sasa ni hoja iliyofungwa jana.
Mtu mwenye akili timamu anajua Dk Hussein Mwinyi ni Rais mtarajiwa wa Zanzibar!
[emoji23][emoji23]Wazanzibari hata siwaelewi; yaani wana jeshi, mahakama, wimbo wa taifa lao, na bunge.
Lakini pamoja na mbwembwe zao zote hizo, Rais wao anachaguliwa Dodoma, Tanzania Bara, sijui wanakwama wapi?!.
Hii ni sawa na baba wa familia kuwa na nyumba yako, unaacha pesa ya matumizi kila siku, lakini chakula kinapikwa kwa jirani, na umeshazoea kwenda kula huko.
Hivi kwann "umnyime mtu mwili wa marehemu?"Kuna kijana amezuiwa kupewa maiti ya mkewe hapo Muhimbili National Hospital mpaka atakapolipa shilingi 1,470,800.
Wasamaria walimsaidia kuchimba kaburi ili amhifadhi marehemu mkewe lakini kutokana na kuwekewa ngumu na serikali ya wanyonge, wamelazimika kufukia kaburi kisha kumchangia fedha za nauli kijana huyo ili arejee kwao Mtwara.
Hivi sasa huyo bwana yuko njiani akielekea makwao akiwa amebeba kichanga cha wiki tatu na maiti ya mkewe ikiendelea kushikiliwa hapo Muhimbili.
Huyu ni mmoja kati ya wapiga kura mnaowategemea. Kwa hakika hakuna chama cha kidhalimu duniani kinachoweza kuishinda CCM.
Kama umeguswa wasiliana na huyu mnyonge anayeteseka kwa kunyimwa mwili wa mpendwa wake kwa namba ya simu 0778 140 361
[emoji23][emoji23]
JESUS IS LORD[emoji120]
Mie nadhani sio suala la CHADEMA kuwa wachambuzi wa siasa ndani ya CCM. Hapa hoja ni siasa tu, ingekuwa mahubiri ya injili si dhani kama CHADEMA wangeichambua.CHADEMA kwa sasa wamekuwa wachambuzi wa Siasa za ndani ya CCM!
Suala la Urais wa Zanzibar ndani ya CCM kwa sasa ni hoja iliyofungwa jana.
Mtu mwenye akili timamu anajua Dk Hussein Mwinyi ni Rais mtarajiwa wa Zanzibar!
Watu waliozaliwa zanzibar na kukulia zanzibar,kama kina Maalim Seif, Shamsi Vuai etcdefine pls
Fuatilia historia yake uone,hawataki mtu ambaye aliyezaliwa na kukulia zanzibar 100% ,Dr Shein alitolewa mfukoni mwa Mkapa!! Awali alikuwa hajawai kufanya/kujishughulisha na siasa!!Dr Shein alikua mtu wa bara?