Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

Kwa mtindo huu Raisi wa miaka ijayo atakua Jurgen Magufuli. Ila naona ni mataifa mengi hii hali ipo hivi it seems as ni blood line thing
 
Hakuna nakuambia,ingekuwa hatarii.Wajumbe wengi hawampendi Magufuli ni vile wanamuogopa tu.
Yah nadhani hata hii ya kumchagua Hussein itakua seminar elekezi kabambe walipigwa haiwezi kuwa hivi hivi. Waafrica tunajuana bana lazima mpunga mnene umetembea. Japo inaonekana kama ni jambo lilifonyika kwa uwazi.
 
Mimi binafsi nilisema Membe kachemka kafanya maamuzi kwa hasira na mihemko kakosea

Nilikuja gundua baadaye kuwa Alikuwa na genge la ku mi slead vyombo vya usalama na public waamini Kuna something very wrong ndani ya CCM na serikali kumbe mwongo na kuwa Kuna mkono fulani wa nchi fulani kwa sababu fulani ikaja gundulika kuwa muongo hiyo iliua credibility yake for good.Hakuitendea haki nchi kuweka majungu kwenye issue nzito zilizo mislead wengi haikuwa sahihi

Membe hajaitendea haki Nchi serious

Tunashukuru Raisi Magufuli kusimamama kidete bila kutetereka Issue ya Membe
....Membe hajaitendea haki nchi.....

OOhooooo CHEZA NA YOTE SI CCM yetu......
 
Kwa mtindo huu Raisi wa miaka ijayo atakua Jurgen Magufuli. Ila naona ni mataifa mengi hii hali ipo hivi it seems as ni blood line thing

Hii hali ikianza kubadilika itabadilika vibaya sana na hatari sana kwa wana familia . Ni mtego wa panya huo watakuja kuingia waliokuwemo na wasiokuwemo
 
Lipo wazi Hilo wengine ni wasindikizaji tu,we uoni baba yake alikuwa akiiunga kila kitu ili amsimharibie mwanae
 
Yah nadhani hata hii ya kumchagua Hussein itakua seminar elekezi kabambe walipigwa haiwezi kuwa hivi hivi. Waafrica tunajuana bana lazima mpunga mnene umetembea. Japo inaonekana kama ni jambo lilifonyika kwa uwazi.


Nakuvulia kofia, umemaliza kila kitu 👍👍
 
Yah nadhani hata hii ya kumchagua Hussein itakua seminar elekezi kabambe walipigwa haiwezi kuwa hivi hivi. Waafrica tunajuana bana lazima mpunga mnene umetembea. Japo inaonekana kama ni jambo lilifonyika kwa uwazi.
Kalpana mrembo wetu wapemba twasema HALITAKI HATA TOCHI....

Mchakato ulikuwa penuuu peupeee yailahiii
 
Yah nadhani hata hii ya kumchagua Hussein itakua seminar elekezi kabambe walipigwa haiwezi kuwa hivi hivi. Waafrica tunajuana bana lazima mpunga mnene umetembea. Japo inaonekana kama ni jambo lilifonyika kwa uwazi.
Lipo wazi tangu zamani mbona thus mzee wake aliridhia katiba ibadilishwe jiwe atawale milele
 
Kalpana mrembo wetu wapemba twasema HALITAKI HATA TOCHI....

Mchakato ulikuwa penuuu peupeee yailahiii
Ccm naowajua wakitaka mtu fulani atapita hata kwa kupindua meza. Mm nilimuona yule Doc kama yuko matured kidogo kuliko mwinyi
 
Back
Top Bottom