cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Kwani Zanzibar imeshapata rais wa awamu ya 8?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Zanzibar imeshapata rais wa awamu ya 8?
Tanzania serikali haitolewi kwa vikaratasi vya kupigia kura.unampongeza Mwinyi kuwa rais kwani uchafuzi - uchaguzi umeshafanyika? vp wewe? kuna rangi ya zambarau inawafuasi asilimia 75% kule zenj empire kuljo rangi mbaya ya kijani .
but a beautiful thing is appreciated by many, particularly in social science!Miungano haifanani DUNIANI KOTE.......
Wala haishtui, tunafuatilia Dodoma kwa sababu kule ndiko aliko raisACT halafu inakuwa ukawa wanaungana na chadema
Kumbe jiwe ndio a na tawala tangu MuanganoNdo maana tunasema huu MUUNGANO NI FAKE kwa 100%!
Nchi yenye Serikali mbili na Marais wawili:
(1). Serikali ya JMT......Rais Jiwe.
(2). Serikali ya BMZ.....Rais Shein.
Lakini maamuzi yote ya Serikali zote 2 yanafanywa na mtu mmoja Dikteta Jiwe!!
Upuuzi mtupu!
Ww ndio una Akili kuna msemo unasema wagawanye ili uwa tawale baada ya Anko Magu kupata ushindi wa kishindo Mzee Wetu Membe atarudi nyumbani kwa kishindo...Membe hana akili kabisa. Alitakiwa asijitoe CCM ili asikilizie leo wangesemaje .Naona wamemsamehe Kinana.Membe alitakiwa ajifanye kondoo aombe msamaha. Wamsamehe then hapo hapo anachukua form. Membe hajui kucheza Pele.
Hiyo nakubalina na wewe, ila nadhani kinachotokea upande huo si matakwa ya mgombea.Hatua ya pili ni kuwa atakubalika na kupewa heshima na kila mpenda haki iwapo atakubali kushindwa hadharani kwenye huu uchaguzi
Majungu kivipi mkuu....Majungu
Nilivyosikiliza CV yake nimeona ameanza kukitumikia chama zamani na serikali kwa ujumla. Au nafasi hii unatakiwa uwe umetumia muda mwingi kwny uongozi ktk nafasi za kisiasa?Kalpana hebu ifafanue hyo maturity tujibwedee hapa....
Aliyetakiwa na ccm bara ni Dr.Hussein Mwinyi, haikuwa anatafutwa mtu bora kwa Zanzibar.Naaaaah, Nahodha lazima achukue, nilimpa Makame ila kakosa basi tena.. Sasa Nahodha is better kuliko Mwinyi by far.
Nilivyosikiliza CV yake nimeona ameanza kukitumikia chama zamani na serikali kwa ujumla. Au nafasi hii unatakiwa uwe umetumia muda mwingi kwny uongozi ktk nafasi za kisiasa?
...and Many is Not Most.but a beautiful thing is appreciated by many, particularly in social science!