Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Fisasiii mkuuu huyu siku zake zahesabikaaa muda utaongea hilo LC 300 amelipa 350mil kuwapumbaza wachaga khaaaa watakuwa wajingaaaHii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.
Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.
View attachment 3049570View attachment 3049571View attachment 3049572View attachment 3049573
Wasafi wakaona watangaze hivyo hibHii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.
Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.
Kikao cha Ndani kinachofanyika Barabarani?😅😅😅Nyie wote wajinga
Uliona wap Kikao Cha ndani kikawa na watu
Mbowe hapo hata arudi na Fuya jimbo linasalia Ccm
Japo sii kweli usemayo, Mhe. Shaashisha yuko vizuri, ila ni bahati mbaya sana, jimbo hilo liko kwenye ule mgao wa nusu mkate.Akihutubia mkutano Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm.
Pascal anamtetea mwenzake aliyechina kwa kisingizio cha mgaoJapo sii kweli usemayo, Mhe. Shaashisha yuko vizuri, ila ni bahati mbaya sana, jimbo hilo liko kwenye ule mgao wa nusu mkate.
P
Kilichosababisha wabebwe kimeisha?Wabunge waliobebwa kwa mbeleko ya "Mwendazake" hawatorudi 2025.
Wewe mwenyewe umesema kuelekea 2025 , na hapo miaka 3 ulikuwa hauonekaniHii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.
Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.
Kilichosababisha wabebwe kimeisha?
Ni aibu sana kwa mtu mzee kama wewe kuandika uongo.Japo sii kweli usemayo, Mhe. Shaashisha yuko vizuri, ila ni bahati mbaya sana, jimbo hilo liko kwenye ule mgao wa nusu mkate.
P
We jamaa ni wa kuhurumiwa sana!Nyie wote wajinga
Uliona wap Kikao Cha ndani kikawa na watu
Mbowe hapo hata arudi na Fuya jimbo linasalia Ccm
Hujui kitu tulia wewe!Hii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.
Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.
Mkuu, acha kutufanya sisi sote kama nyumbu. Wewe picha ya umati wote kwa mbali tuone. Unachukua picha za vipande vidogodogo vya watu waliokaa halafu unataka tukuamini?Hii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.
Mkuu la kwako la kigambonino ulilopata 1 vote vipi utarudi tena? Ubaya ubwela.Japo sii kweli usemayo, Mhe. Shaashisha yuko vizuri, ila ni bahati mbaya sana, jimbo hilo liko kwenye ule mgao wa nusu mkate.
P