Pre GE2025 Mkutano wa Saashisha Mafuwe Mbunge wa Hai wahudhuriwa na watu wachache

Pre GE2025 Mkutano wa Saashisha Mafuwe Mbunge wa Hai wahudhuriwa na watu wachache

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.

Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.

Mbona waliosimama hawapo? Pia hakukuwa na wasanii wanganga njaa?
 
Kwenye siasa ni kawaida sana...
Mtu anajipigia kura mwenyewe na bado matokeo yanasoma anakura sifuri, jiulie kura yake moja imeenda wapi...


Cc: Mahondaw
 
Hii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.

Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.

Mwaka 2015 kwenye Kampeni za Urais kupitia Chadema, Mzee Lowassa alikuwa anakusanya NYOMI YA KUFA MTU lakini HAKUWA RAIS na akaishia kurudi CCM! Ahahahahaha!!
 
Hii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.

Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.

Naona watu kama kumi tu hivi hapo, aondoke huyu mbunge sasa.
 
Uwezo wako wa kusoma in between the lines ni limited ndio maana unanidhania mimi ni chawa, mimi sijawahi kuwa chawa!.
P
Mkuu, wewe ndiyo ulisababisha nikaanza kutumia JF mwanzo nilijiunga 2014 na sijui mpk leo nilijiungaje nikiwa chuo, swali lako la Ikulu ndiyo lilisababisha nikakufahamu na kuanza kutumia jamii forum, why mwanzo watu walikuwa wanakusifia kabla hujakengeuka? kuna shida kubali mkuu, mwanzo nilikuwa nikiona umeingia jukwaani hata kama nilikuwa nakula ilibidi nisitishe ajili ya kuchota ujuzi na uzoeefu, tangu umefika bei kila mtu amekushusha.
 
Japo sii kweli usemayo, Mhe. Shaashisha yuko vizuri, ila ni bahati mbaya sana, jimbo hilo liko kwenye ule mgao wa nusu mkate.
P
Nakuunga mkono.Huyo Mbunge kijana ni mchapa kazi sana.Tatizo ni kwamba katika Jimbo hilo KKKT na Chadema ni kitu kimoja.Na kanisa hilo ndilo lenye ushawishi mkubwa katika Jimbo hilo.
Kwa hiyo hata iweje Jimbo hilo CCM hatuwezi kushinda.
 
Nakuunga mkono.Huyo Mbunge kijana ni mchapa kazi sana.Tatizo ni kwamba katika Jimbo hilo KKKT na Chadema ni kitu kimoja.Na kanisa hilo ndilo lenye ushawishi mkubwa katika Jimbo hilo.
Kwa hiyo hata iweje Jimbo hilo CCM hatuwezi kushinda.
Saasisha ni Dhahabu gani?Mkikosa hoja huwa mnajificha kwenye Dini,Makabila au Kanda.
Ndiyo maana sasa hivi mnawafufua Machief kwa haraka?
 
Mkuu, wewe ndiyo ulisababisha nikaanza kutumia JF mwanzo nilijiunga 2014 na sijui mpk leo nilijiungaje nikiwa chuo, swali lako la Ikulu ndiyo lilisababisha nikakufahamu na kuanza kutumia jamii forum, why mwanzo watu walikuwa wanakusifia kabla hujakengeuka? kuna shida kubali mkuu, mwanzo nilikuwa nikiona umeingia jukwaani hata kama nilikuwa nakula ilibidi nisitishe ajili ya kuchota ujuzi na uzoeefu, tangu umefika bei kila mtu amekushusha.
Ni bahati mbaya sana umenijua wakati nimeisha poa, nimeanza uandishi na utangazaji mwaka 1990, mwaka 1995-2000 nimeendesha kipindi kinaitwa Kiti Moto, ulikuwa ukikikalia ni cha moto kweli, 2000- 2010 nikafanya mambo mengine, hivyo by the time wewe unanijua, umenikuta tayari mimi ni Mzee Pasco, hivyo sasa naandika kizee na kuzungumza kwa busara, sijawahigi kukengeuka, bali busara zimeongezeka, wasio na uwezo to read in between the lines, hawanisomi kabisa, ndio akina nyie mnaodhani nimefika bei!. Mimi sina bei, I'm not for sale, bei yangu ni priceless, sinunuliki, hata wewe ukikukua kua zaidi kiakili ukapata uwezo wa to read in between the lines utanielewa.

The strong man in the world is the one who can stand alone, hivyo mimi naendelea kusimama na kile ninachokiamini hata kama ni kusimama peke yangu, na sina wasiwasi kabisa na wanaonishusha watakuja kunielewa tuu.
P
 
Nusu mkate?Mnapenda kujifariji kweli.Unaamini kama Uchaguzi ungefanyika sawia Saasisha angeweza kushinda 2020?
Nyie watu mbona ni wazito sana kuelewa?, Mbona Nape ameishasema kila kitu, kuwa CCM ndio inaamua ishinde wapi na wapi iachie!. Mwenyekiti Mbowe ameutambua uwezo huo wa CCM na ameukubali, hivyo akakaa mezani na CCM na kuamua kugawana mkate, kila mmoja apate nusu mkate. Hivyo kuna majimbo CCM imekubali kuyaachia kuwagaiya wapinzani kwenye kugawana nusu mkate. Jimbo la Hai ni moja ya majimbo hayo, hivyo Saasisha hatapitishwa kipindi cha pili ili Jimbo liende upinzani.
Ila TL hakubaliani na utaratibu huo wa kugawana nusu mkate, anawaita wenzake wajinga!. Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
P
 
Ni bahati mbaya sana umenijua wakati nimeisha poa, nimeanza uandishi na utangazaji mwaka 1990, mwaka 1995-2000 nimeendesha kipindi kinaitwa Kiti Moto, ulikuwa ukikikalia ni cha moto kweli, 2000- 2010 nikafanya mambo mengine, hivyo by the time wewe unanijua, umenikuta tayari mimi ni Mzee Pasco, hivyo sasa naandika kizee na kuzungumza kwa busara, sijawahigi kukengeuka, bali busara zimeongezeka, wasio na uwezo to read in between the lines, hawanisomi kabisa, ndio akina nyie mnaodhani nimefika bei!. Mimi sina bei, I'm not for sale, bei yangu ni priceless, sinunuliki, hata wewe ukikukua kua zaidi kiakili ukapata uwezo wa to read in between the lines utanielewa.

The strong man in the world is the one who can stand alone, hivyo mimi naendelea kusimama na kile ninachokiamini hata kama ni kusimama peke yangu, na sina wasiwasi kabisa na wanaonishusha watakuja kunielewa tuu.
P
Mkuu acha kunidhalilisha basi, Mkuu mimi huwa nawashughulikia hapa wenzio akina Lucas Mwashamba lakini wewe huwa nakuheshimu sababu ya swali lako la Ikulu 2016, ndiyo mtu ulisababisha nikaanza kuitumia JF+ kuijua ila mwanzo ukiniuliza nilijiunga vipi JF mpaka leo sijui, kubali umefika bei mkuu, jifunze kwa Dotto Bulendu na Chief Odemba
 
Mkuu acha kunidhalilisha basi, Mkuu mimi huwa nawashughulikia hapa wenzio akina Lucas Mwashamba lakini wewe huwa nakuheshimu sababu ya swali lako la Ikulu 2016, ndiyo mtu ulisababisha nikaanza kuitumia JF+ kuijua ila mwanzo ukiniuliza nilijiunga vipi JF mpaka leo sijui, kubali umefika bei mkuu, jifunze kwa Dotto Bulendu na Chief Odemba
Kati ya vitu ambavyo namshukuru sana Mungu amenijalia ni heshima kwa wote, jf ingekuwa inahesabu thanks, nadhani ningeongoza kwa kushukuru watu humu hata mtu akinitukana namtupia thanks, hivyo haiwezekani mimi huyo huyo nikadhalilisha mtu humu.

Ila pia naomba nikiri udhaifu, no one is perfect, mimi udhaifu wangu mkubwa ni kuusema ukweli bila kuuremba remba. Watu hawapendi kuambiwa ukweli kuhusu madhaifu yao!. Watu wote wanaoniona mimi chawa, uwezo wao kusoma mada zangu in between the lines, ni limited.

Dotto Emmanuel Bulendu, mimi ni mwalimu wake, ila amekuja kunizidi!. Hebu nisikilize hoja zangu za kugombea kupitia CCM uone kama ni hoja za kichawa chawa , na uone nilikuwa na nani...
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?si=7U1szhuy3CCOyuPS
P
 
Kati ya vitu ambavyo namshukuru sana Mungu amenijalia ni heshima kwa wote, jf ingekuwa inahesabu thanks, nadhani ningeongoza kwa kushukuru watu humu hata mtu akinitukana namtupia thanks, hivyo haiwezekani mimi huyo huyo nikadhalilisha mtu humu.

Ila pia naomba nikiri udhaifu, no one is perfect, mimi udhaifu wangu mkubwa ni kuusema ukweli bila kuuremba remba. Watu hawapendi kuambiwa ukweli kuhusu madhaifu yao!. Watu wote wanaoniona mimi chawa, uwezo wao kusoma mada zangu in between the lines, ni limited.

Dotto Emmanuel Bulendu, mimi ni mwalimu wake, ila amekuja kunizidi!
. Hebu nisikilize hoja zangu za kugombea kupitia CCM uone kama ni hoja za kichawa chawa , na uone nilikuwa na nani...
View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?si=7U1szhuy3CCOyuPS
P

Mbona hawa hawa mwanzo walikuwa wanakusifia balaa 2016-2019? Doto amegoma kuwa chawa nadhani ni mwl wa Chiefu Odemba, mlikuwa na kipindi jmoc Star TV asubuhi nilikuwa sikosi sababu ilikuwa ni madini tupu sijui baadae ulikuja kufikaje bei mkuu! nadhani tenda za TCRA masharti ake ni hayo mkuu. Ila siyo mbaya kupanga ni kuchagua
 
Mbona hawa hawa mwanzo walikuwa wanakusifia balaa 2016-2019? Doto amegoma kuwa chawa nadhani ni mwl wa Chiefu Odemba, mlikuwa na kipindi jmoc Star TV asubuhi nilikuwa sikosi sababu ilikuwa ni madini tupu sijui baadae ulikuja kufikaje bei mkuu! nadhani tenda za TCRA masharti ake ni hayo mkuu. Ila siyo mbaya kupanga ni kuchagua
Uhuru pekee ambao ni uhuru absolute na hauna mipaka, ni freedom to think, hivyo mtu uko huru kufikiri vyovyote bila kuingiliwa, hivyo naheshimu mawazo yako kudhani nimefika bei, nadhani itoshe asante.
P
 
Back
Top Bottom