Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwahiyo, hayo magari yanayoonekana hapo na yenyewe yapo ndani ya ukumbi wa mkutano?Nyie wote wajinga
Uliona wap Kikao Cha ndani kikawa na watu
Mbowe hapo hata arudi na Fuya jimbo linasalia Ccm
Mbona ametanua kinywa kama vile anahutubia maelfu uwanja wa taifaHii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.
Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.
Huyu jamaa kwa upande wa Hai hakubaliki hata kidogoHii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.
Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.
Alishindwa hata kusomba watu kutoka Matejoo Arusha?Fisasiii mkuuu huyu siku zake zahesabikaaa muda utaongea hilo LC 300 amelipa 350mil kuwapumbaza wachaga khaaaa watakuwa wajingaaa
Umewahi kuishi Hai?Japo sii kweli usemayo, Mhe. Shaashisha yuko vizuri, ila ni bahati mbaya sana, jimbo hilo liko kwenye ule mgao wa nusu mkate.
P
... AONGEZE UCHAWA, ... LABDA ATAKWAA UKUU WA WILAYA!Hii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.
Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.
NDIYO MAANA KAHAB@ MJALAANA ANATEMBEA NA WATU WAKE NA MAGARI ZAIDI YA 400.Hii yaweza kuwa rekodi ya Dunia ya mikutano hafifu ya hadhara iliyotia aibu ya Mahudhurio, Haijulikani Mbunge kama Huyu alipataje watu wa kumchagua.
Akihutubia mkutano huo duni, huku akitetemeka, Mh Saashisha Mafuwe amewaomba wananchi kuendelea kuingua mkono ccm huku akimshutumu Mbowe kwa Kutukana serikali.
Duh...!, kumbe hunijui!, mimi nimeoa huko!.Umewahi kuishi Hai?
Mbona nimekoma!.Mkuu la
Mkuu la kwako la kigambonino ulilopata 1 vote vipi utarudi tena? Ubaya ubwela.
Mkuu kuoa Moshi siyo kuishi, ukioa Kahama ndiyo unakuwa wa Kahama?Duh...!, kumbe hunijui!, mimi nimeoa huko!.
P
Thubutu!Hujui kitu tulia wewe!
ππππKwahiyo, hayo magari yanayoonekana hapo na yenyewe yapo ndani ya ukumbi wa mkutano?
Sisi Wasukuma, ukioa mahali ndio umefika, nakwenda Uchagani na kuishi huko kuliko Usukumani!. Mimi ni mkazi wa Moshi, na nimeisha gaiwa na kihamba!, uchumi wa Maza ukikaa sawa nashusha kitu!.Mkuu kuoa Moshi siyo kuishi, ukioa Kahama ndiyo unakuwa wa Kahama?
Hahaha!!!we jamaa una akili nyingi sanaJapo sii kweli usemayo, Mhe. Shaashisha yuko vizuri, ila ni bahati mbaya sana, jimbo hilo liko kwenye ule mgao wa nusu mkate.
P
Mkuu na channel 10/TCRA una mwachia nani? mwenzetu toka umekuwa chawa damu inakurukia rukia kidogo si haba, sijui kwanini Lucas Mwashambwa yeye hakumbukwiSisi Wasukuma, ukioa mahali ndio umefika, nakwenda Uchagani na kuishi huko kuliko Usukumani!. Mimi ni mkazi wa Moshi, na nimeisha gaiwa na kihamba!, uchumi wa Maza ukikaa sawa nashusha kitu!.
P
Hili jimbo Mbowe wala hahitaji kupiga kampeni, asubuhi tu kabeba jimbo.Nyie wote wajinga
Uliona wap Kikao Cha ndani kikawa na watu
Mbowe hapo hata arudi na Fuya jimbo linasalia Ccm
Endelea kujidanganyaHili jimbo Mbowe wala hahitaji kupiga kampeni, asubuhi tu kabeba jimbo.
Wewe uko Geita ya Nshara unayajulia wapi?Endelea kujidanganya
Labda apigiwe kura na Nshara wenzie
Akija huku Tambarare asijekusema amezomewa na Serikali maana hatutaki hata kumiskia