Pre GE2025 Mkutano wa Saashisha Mafuwe Mbunge wa Hai wahudhuriwa na watu wachache

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona ametanua kinywa kama vile anahutubia maelfu uwanja wa taifa
 
... AONGEZE UCHAWA, ... LABDA ATAKWAA UKUU WA WILAYA!
πŸ˜…
 
NDIYO MAANA KAHAB@ MJALAANA ANATEMBEA NA WATU WAKE NA MAGARI ZAIDI YA 400.
 
Sisi Wasukuma, ukioa mahali ndio umefika, nakwenda Uchagani na kuishi huko kuliko Usukumani!. Mimi ni mkazi wa Moshi, na nimeisha gaiwa na kihamba!, uchumi wa Maza ukikaa sawa nashusha kitu!.
P
Mkuu na channel 10/TCRA una mwachia nani? mwenzetu toka umekuwa chawa damu inakurukia rukia kidogo si haba, sijui kwanini Lucas Mwashambwa yeye hakumbukwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…