Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC

Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Haya ndio maazimio ya mkutano wa SADC na EAC kuhusu mgogoro wa DRC, na moja ya walichoazimia ni Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC.

Pia soma: Dar: Rais Samia akishiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa EAC na SADC Februari 8, 2025

Screenshot_20250208_201449_Samsung Notes.jpg
Screenshot_20250208_201457_Samsung Notes.jpg
Screenshot_20250208_201502_Samsung Notes.jpg
Screenshot_20250208_201506_Samsung Notes.jpg
Screenshot_20250208_201510_Samsung Notes.jpg

Screenshot_20250208_201525_Samsung Notes.jpg
 
Haya ni maigizo katika hali zote hawa wala hawana uamuzi wowote katika Vita hii...Wanaoamua Vita hii wako wanakunywa kahawa Dubai na Ulaya huko ....
Kuna Shida gani kuwatambua hao wanyamurenge??? Kuna shida gani kumwambia Kagame aache kuiba DRC???
 
Mimi sijaona chochote cha maana zaido ya unafiki na kuogopana. Hapo hamna azimio la maana la kisitisha mapigano na kurudisha amani. sijaona Rwanda ikikemewa wala M23 wakiamrishwa kuondoka wala DRC Governent wakipewa maelekezo yoyote ya kuwatambua na kuwapa uraia Banyamulenge ambao ni raia asilia wa Congo tangu karne ya 18
 
Wakuu,

Haya ndio maazimio ya mkutano wa SADC na EAC kuhusu mgogoro wa DRC, na moja ya walichoazimia ni Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC.

Pia soma: Dar: Rais Samia akishiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa EAC na SADC Februari 8, 2025

View attachment 3229429View attachment 3229430View attachment 3229431View attachment 3229432View attachment 3229433
View attachment 3229434
Wamepoteza muda hamna walilofanikiwa.
Nilijua wangekuja na maagizo haya
kuwa M23 wapewe siku 7 wawe awapo Congo baada ya apo majeshi full scale ya Nchi wanachama yaingie Congo mashariki haraka sana kuwaondoa.
 
S
Haya ni maigizo katika hali zote hawa wala hawana uamuzi wowote katika Vita hii...Wanaoamua Vita hii wako wanakunywa kahawa Dubai na Ulaya huko ...
Kumbuka unapojadili migogoro ya nchi nyingine unatakiwa kutumia Diplomasia ya hali ya juu.
 
Mimi sijaona chochote cha maana zaido ya unafiki na kuogopana. Hapo hamna azimio la maana la kisitisha mapigano na kurudisha amani. sijaona Rwanda ikikemewa wala M23 wakiamrishwa kuondoka wala DRC Governent wakipewa maelekezo yoyote ya kuwatambua na kuwapa uraia Banyamulenge ambao ni raia asilia wa Congo tangu karne ya 18
Nani wa kumkemea Rwanda pale unavyoona?
 
haya maazimio ni ushindi mkubwa kwa wanyamulenge na PK maana sasa ni rasmi sasa hao wanyamulenge ni wana DRC halali ndomaana wamepata mwaliko wa kuyajenga na serikali ya DRC. apa naona Kivu republic imeshazaliwa rasmi.
 
Mimi sijaona chochote cha maana zaido ya unafiki na kuogopana. Hapo hamna azimio la maana la kisitisha mapigano na kurudisha amani. sijaona Rwanda ikikemewa wala M23 wakiamrishwa kuondoka wala DRC Governent wakipewa maelekezo yoyote ya kuwatambua na kuwapa uraia Banyamulenge ambao ni raia asilia wa Congo tangu karne ya 18
Hao Banyamulengw wasipopewa uraia na haki zao za msingi hawawezi kukubali.

Ingawa inawezekana Kagame kaongeza Banyamulenge, lakini tujiulize kama ndiyo wewe Banyamulenge ambapo kizazi chako kilikuwepo hapo tangu Berlin conference 1884 unahisi ufanyaje unapoambiwa urudi Rwanda na ile hali huko Rwanda hupajui!
 
Back
Top Bottom