Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC

Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC

Serikali ya DRC imeshindwa KUWANYANG'ANYA silaha na KUWAPIGA M 23....

Majeshi ya nchi za kigeni yatapiganaje na raia wa kikongomani wenye silaha(M 23)?!!!
Ok sasa hayo majeshi ya SADC yanafanya nini huko Mashariki mwa DRC?

Mi nilidhani sababu kuu ni ku prempty mapigano?

Yapo majeshi na vita vinapiganwa hiyo amani gani sasa wanalinda, au wanachukua posho tu hayo mengine tutajijua wenyewe?

Ikiwa ahayana kazi kuna sababu gani wa Majeshi hayo kujirundika huko, ikiwa mapigano yapo na wananchi wanauwawa kwa maelfu?

Au kulinda amani kukoje?

Hawa nchi za SADC haswa ndio wanapaswa kuzuia na kuingilia kati wakiacha hivyo, sioni maana ya wao kukutana bila kuwa na maamuzi?
 
Nimeyasoma maazimio....

FDRL nao ni tatizo....mkutano umeamua hao jamaa wawe "neutralized"....

Je serikali ya DRC itaweza?!!

Isipoweza je Rwanda itakubali kuondoa "vikosi vyake" ambavyo navyo VIMEAMRIWA visiendelee kuwepo DRC?!!

Ndani ya siku 5 zijazo imeamriwa CHIEF OF STAFFS wa majeshi ya nchi za SADC-EAC kukutana "kimipango"....

Ndani ya siku 30 zijazo mawaziri wa SADC-EAC wakutane wakiwa na ripoti ya kilichofanyika kutoka sasa.....

My take:
Mpira amerudishiwa Tshisekedi na serikali yake....mzigo alionao si wa kitoto.....

Ushauri:
Serikali ya DRC itulie sana katika kuyaendea maazimio haya kwani kusimama kwao imara ndiko kutakapotoa nafasi ya KUWALAUMU wengine na majeshi yao "yasioalikwa huko DRC".
Ni lazima wapitie katika njia za KISIASA na KIDIPLOMASIA kuondoa "nakama" iliyoko.

#Ndimi Chawa Promax wa Chifu Hangaya!
#Hasta la Victoria URT,amen!
Hawajatibu tatizo la Rwanda Kwa Ku neutralize FdLR wakati Mkataba wa Amani wa Arusha, haujatekelezwa kutambua Haki za "Wahutu" itakuwa ni kuwapa kiburi na Haki walio wachache kuwa juu ya walio wengi
 
Hahaha hao SADC wao ni Wenyeji huko mashariki ya DRC?

Au wageni wanamaanisha wazungu?
 
Ok sasa hayo majeshi ya SADC yanafanya nini huko Mashariki mwa DRC?

Mi nilidhani sababu kuu ni ku prempty mapigano?

Yapo majeshi na vita vinapiganwa hiyo amani gani sasa wanalinda, au wanachukua posho tu hayo mengine tutajijua wenyewe?

Ikiwa ahayana kazi kuna sababu gani wa Majeshi hayo kujirundika huko, ikiwa mapigano yapo na wananchi wanauwawa kwa maelfu?

Au kulinda amani kukoje?

Hawa nchi za SADC haswa ndio wanapaswa kuzuia na kuingilia kati wakiacha hivyo, sioni maana ya wao kukutana bila kuwa na maamuzi?
Dunia lazima iongozwe na wababe wachache iili kulinda maslahi ya wengi, ndio maana US ni mbabe wa dunia lakini kwa maslahi ya bara la America, Europe, Israel na nchi chache rafiki. China ni mbabe wa Asia, Ndio maana US ameshindwa na hawezi kumvamia mapanki, ni hofu ya China, waarabu hawana mbabe mmoja ndio maana Wana Vita zisioisha hadi US aamue kuwasaidia

Shida Africa hakuna mbabe wa kusikilizwa, kila mmoja ana sharubu, Angalau Mwl alijaribu zamani, sasa hivi kiongozi gani atamwambia mwenzake acha na akasikia?
 
nimetafakari sana, naamini imefika mahali tuwaulize wananchi wenyewe wa Goma na Bukavu, wanataka nini, wanataka kinshasa au wanataka wajitegemee? tukipata idadi kubwa ya raia wa eastern congo wanataka kujitawala, basi tisekeli anatakiwa kufyata mkia. kuachia ardhi inauma ila itabidi avumilie maumivu kama alivyovumilia msudani.
Hivi una akili timamu kweli?
 
Yaani Kagame kawapiga kijeshi, kawafuata Dar kawapiga kidiplomasia, atakuwa sasa hivi anacheeka

..Na tumempokea uwanja wa ndege kwa vikundi vya ngoma na maturumbeta, tukamkaribisha mpaka Ikulu kwa tabasamu na bashasha tele.
 
The Berlin conference now comes to Congo

1739166875280.jpeg
 
Mh. Wasira 😂🤗🤗🤗 akiendelea kuwa alivyo.. Atawavutia wengi kufatilia siasa zao pia


Ila Makonda bado ni namba one, kuvutia na kusikiliza. Wanamuhitaji sanaaaaa kwa mengi


Kazi iendeleeee
Kituko Kile kimvutie nani, vijana wanavutiwa na vijana wenzao co wazee wastaafu
 
Hao Banyamulengw wasipopewa uraia na haki zao za msingi hawawezi kukubali.

Ingawa inawezekana Kagame kaongeza Banyamulenge, lakini tujiulize kama ndiyo wewe Banyamulenge ambapo kizazi chako kilikuwepo hapo tangu Berlin conference 1884 unahisi ufanyaje unapoambiwa urudi Rwanda na ile hali huko Rwanda hupajui!
Sidhani kama walinyang'anywa huo uraia. tatizo wanataka kuongoza Congo na kuiba madini bila utaratibu.
Yani hao wanainufaisha Rwanda
 
Back
Top Bottom