Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Imeamriwa MAJESHI yote yasiyo na mwaliko wa serikali ya DRC "yapite kushoto"........ lakini sio wanajeshi wa Kenya, Uganda na Rwanda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeamriwa MAJESHI yote yasiyo na mwaliko wa serikali ya DRC "yapite kushoto"........ lakini sio wanajeshi wa Kenya, Uganda na Rwanda!
Hebu tuwe "neutral"....Kagame anaogopwa.
FDRL wanyang'anywe silaha....waombe uraia.....halafu tumuone Kagame atakuwa na sababu zipi za majeshi yake kuwa DRC....Kwa lugha ya kidoplomasia maana yake PAKA aondoe uchafu wake DRC.
M23 katajwa mara moja tu, watakubali kudogoshwa wakati wao ndio waanzilishi.Haya ni maigizo katika hali zote hawa wala hawana uamuzi wowote katika Vita hii...Wanaoamua Vita hii wako wanakunywa kahawa Dubai na Ulaya huko ....
Kuna Shida gani kuwatambua hao wanyamurenge??? Kuna shida gani kumwambia Kagame aache kuiba DRC???
Nadhani ni hekima ya kidiplomasia....baadhi ya majeshi hayo wakuu wake wako mezani....ni lazima HEKIMA NA BUSARA kutawalaMy take
M23 ambae ndie aliekiwasha, katajwa mara moja tu kwenye hiyo comminique.
Itashika hii?
Nimependa uondoaji majeshi ya wageni, cha kushangaza wameogopa kuwataja?
Tulia ww . Ungefanya nn na lugha yako haijastaharabika. ZANZIBAR ASP ni Wastaa Arabu banaKama hayo ndio maazimio basi, huo ulikuwa ni mkutano wa wapumbavu, waliokutana kipumbavu ili kuja na maazimio ya kipumbavu.
Unaelewa maana ya usuluhishi?Sawa.....
Uhusiano mbovu wa hao M 23 na serikali ya DRC haujaanza hivi karibuni.....
Kabla ya SADC-EAC kuwaingiza mkutanoni mwao ,je serikali ya DRC ilianza lini kukaa katika meza ya kweli ya usuluhishi* na hao watu ?!!
Ha ha ha haTulia ww . Ungefanya nn na lugha yako haijastaharabika. ZANZIBAR ASP ni Wastaa Arabu bana
Hii heshima ya Kidplomasia ya Upande mmoja tu siaaki. Ukiwasikia hao wakulu huko nje na Lugha hiyo hiyo ya Kidiplomasia, hawamumunyi.Nadhani ni hekima ya kidiplomasia....baadhi ya majeshi hayo wakuu wake wako mezani....ni lazima HEKIMA NA BUSARA kutawala
Pointi kubwa sana hioHuu mgogoro wao na kutokusikilizana na kueleweshana
Tulia mdogo wangu, kula mtori nyama zipo chini. RWANDA wakidharahu hayo maazimio, kitakaxhowakuta Mungu anajua.Haya ni maigizo katika hali zote hawa wala hawana uamuzi wowote katika Vita hii...Wanaoamua Vita hii wako wanakunywa kahawa Dubai na Ulaya huko ....
Kuna Shida gani kuwatambua hao wanyamurenge??? Kuna shida gani kumwambia Kagame aache kuiba DRC???
....wanaanza kutengeneza platform ya kuelekea kwenye usuluhishi.....Unaelewa maana ya usuluhishi?
Nafahamu haujaanza jana huo mgogoro, lakini kila chenye mwanzo huwa kina mwisho, hakuna marefu yasiyo na ncha.
Hao ni mahasimu wasiopendana wala hawataki kufahamiana au kushirikiana, hivyo wanakuwepo mediators ambao wanafanya mikutano ya usuluhishi kama huu unaofanyika sasa.
Wangekuwa wanaweza kukaa meza moja na kuongea tusingefika hapa tulipo.
Huu mgogoro wao na kutokusikilizana na kueleweshana madai yao ni yapi ndiyo yametufikisha tulipo, hao watu wa M23 na DRC hawana maelewano ndio maana kunapiganwa vita, na ndio maana kuna majeshi ya kulinda amani, na ndio maana sasa wanaanza kutengeneza platform ya kuelekea kwenye suluhu ya mgogoro.
baambie.Yaani Kagame kawapiga kijeshi, kawafuata Dar kawapiga kidiplomasia, atakuwa sasa hivi anacheeka
😂😂😂😂😂Watani wangu wa Jadi hao.Ha ha ha ha
Jahazi moja hili....Tulia mdogo wangu, kula mtori nyama zipo chini. RWANDA wakidharahu hayo maazimio, kitakaxhowakuta Mungu anajua.
Ok sawa sikuwa na taarifa kwamba siyo kikao cha usuluhishi, kama Mkuu wa majeshi aanaanza kutekeleza ni sawa pia kwasababu kisichotakiwa ni mapigano na watu wasio na hatia kuendelea kuuwawa.....wanaanza kutengeneza platform ya kuelekea kwenye usuluhishi.....
Kikao cha SADC-EAC hakikuwa cha USULUHISHI mkuu wangu.....
Yametolewa maazimio mengi ambayo yanaanza kutekelezwa kwa KIKAO cha "chiefs of staff of armed forces" ndani ya siku 5.....ndani ya siku 30 watakaa mawaziri wa SADC-EAC....
Tshisekedi na serikali yake watumie njia za kisiasa na kidiplomasia na hao M 23....
#Tanzania Kwanza!
Serikali ya DRC imeshindwa KUWANYANG'ANYA silaha na KUWAPIGA M 23....Ok sawa sikuwa na taarifa kwamba siyo kikao cha usuluhishi, kama Mkuu wa majeshi aanaanza kutekeleza ni sawa pia kwasababu kisichotakiwa ni mapigano na watu wasio na hatia kuendelea kuuwawa.
Njia za kisiasa haziwezi kuleta muafaka kwa watu wanaopigana miaka yote hiyo. Wao wanataka kujitenga na DRC, na hivyo wanataka eneo la kuitwa nchi.
Ni ama wapigwe wanyang'anywe silaha au wapewe wanachotaka yaishe.