Vita ya wahutu na watusi huwezi kuimaliza kirahisi hivyo, vita ya kikabila mbaya sanaNaam.
Mapigano yasitishwe mara moja.
Wamepoteza muda hamna walilofanikiwa.Wakuu,
Haya ndio maazimio ya mkutano wa SADC na EAC kuhusu mgogoro wa DRC, na moja ya walichoazimia ni Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC.
Pia soma: Dar: Rais Samia akishiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa EAC na SADC Februari 8, 2025
View attachment 3229429View attachment 3229430View attachment 3229431View attachment 3229432View attachment 3229433
View attachment 3229434
Nauelewa sana huo mgogoro.Vita ya wahutu na watusi huwezi kuimaliza kirahisi hivyo, vita ya kikabila mbaya sana
Sio ya wahutu na watutsi. Tatizo haujasoma, na hata hivyo utapata ugumu kuelewa, heri ubaki hivyo hivyo, usisomeVita ya wahutu na watusi huwezi kuimaliza kirahisi hivyo, vita ya kikabila mbaya sana
Kumbuka unapojadili migogoro ya nchi nyingine unatakiwa kutumia Diplomasia ya hali ya juu.Haya ni maigizo katika hali zote hawa wala hawana uamuzi wowote katika Vita hii...Wanaoamua Vita hii wako wanakunywa kahawa Dubai na Ulaya huko ...
Nani wa kumkemea Rwanda pale unavyoona?Mimi sijaona chochote cha maana zaido ya unafiki na kuogopana. Hapo hamna azimio la maana la kisitisha mapigano na kurudisha amani. sijaona Rwanda ikikemewa wala M23 wakiamrishwa kuondoka wala DRC Governent wakipewa maelekezo yoyote ya kuwatambua na kuwapa uraia Banyamulenge ambao ni raia asilia wa Congo tangu karne ya 18
Rwanda wadogo sana, wanaijua op kimbunga.sema Diplomasia imetumika lkn maazimio yao yanamlenga RwandaNani wa kumkemea Rwanda pale wewe unavyoona?
Hao Banyamulengw wasipopewa uraia na haki zao za msingi hawawezi kukubali.Mimi sijaona chochote cha maana zaido ya unafiki na kuogopana. Hapo hamna azimio la maana la kisitisha mapigano na kurudisha amani. sijaona Rwanda ikikemewa wala M23 wakiamrishwa kuondoka wala DRC Governent wakipewa maelekezo yoyote ya kuwatambua na kuwapa uraia Banyamulenge ambao ni raia asilia wa Congo tangu karne ya 18
Acha matusi kijana, angekuwa Mzee wako ndo kashiriki jambo Hilo ungethubutu kumwita mpumbavu?? Ujinga huo.Kama hayo ndio maazimio basi, huo ulikuwa ni mkutano wa wapumbavu, waliokutana kipumbavu ili kuja na maazimio ya kipumbavu.