johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni mkutano wa kutathmini yaliyojiri katika uchaguzi mkuu wa 2020 na kuweka mikakati thabiti ya maandalizi ya Uchaguzi.
Katibu Mkuu, Dkt. Bashiru amesema sasa wanayo kazi moja kubwa ya kujaza nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi komredi Polepole a.K.a Mwendokasi aliyeteuliwa kuwa Mbunge.
Bashiru amesema Polepole ameifanyia CCM mambo makubwa na uteuzi alioupata kutoka kwa Rais Magufuli anastahili, amempongeza sana.
Karibu.
Maendeleo hayana vyama!
Katibu Mkuu, Dkt. Bashiru amesema sasa wanayo kazi moja kubwa ya kujaza nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi komredi Polepole a.K.a Mwendokasi aliyeteuliwa kuwa Mbunge.
Bashiru amesema Polepole ameifanyia CCM mambo makubwa na uteuzi alioupata kutoka kwa Rais Magufuli anastahili, amempongeza sana.
Karibu.
Maendeleo hayana vyama!