Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KM anataka kumpa urais polepole?Unambishia KM wa CCM?!
Amepewa promotion usiwe kilaza kama CAPO DELGADOsijui nini bhana polepole katumbuliwa full stop, ubunge au uwaziri hauwezi kuwa juu ya katibu mwenezi, kwenye nchi ambayo chama kimeshika hatamu
polepole ndio katoka kitengo cha buku7, jiandae kisaikolojia mkuuAmepewa promotion usiwe kilaza kama CAPO DELGADO
Jamaa washaanza maandalizi ya uchaguzi wa 2025, chandimu wako bize juu ya kutolewa jela kwa nusrat, watakuja shituka spana tena washapigwa
[/
Hajatumbuliwa, wakati tukifahamu malipo ya mbunge - hebu tujuze malipo ya mweneziKwa nini Polepole wamemtumbua? Ubunge ni cheo kidogo sana kulinganisha na katibu mwenezi wa CCM
Hivi Mnyika professional yake ni nini? Maanake inaonekana hana anachojua juu ya political scienceJamaa washaanza maandalizi ya uchaguzi wa 2025, chandimu wako bize juu ya kutolewa jela kwa nusrat, watakuja shituka spana tena washapigwa
Jamaa washaanza maandalizi ya uchaguzi wa 2025, chandimu wako bize juu ya kutolewa jela kwa nusrat, watakuja shituka spana tena washapigwa
Huyo yuko UWTBwashee kwani wewe nawe upo jumuiya ya wazazi au???
Kapata viti maalumuKwa nini Polepole wamemtumbua? Ubunge ni cheo kidogo sana kulinganisha na katibu mwenezi wa CCM
Polisi wanahtaji siku ngapi za kujaza mabegi kura bandia? Huu usanii pelekeni Kaole.Jamaa washaanza maandalizi ya uchaguzi wa 2025, chandimu wako bize juu ya kutolewa jela kwa nusrat, watakuja shituka spana tena washapigwa
Ni mkutano wa kutathmini yaliyojiri katika uchaguzi mkuu wa 2020 na kuweka mikakati thabiti ya maandalizi ya Uchaguzi..
Hawajui hawa, achana nao. Ngoja niwaelimishe kidogo:sijui nini bhana polepole katumbuliwa full stop, ubunge au uwaziri hauwezi kuwa juu ya katibu mwenezi, kwenye nchi ambayo chama kimeshika hatamu
Nakataa, siungi mkono hii kitu.Pole pole anakwenda bungeni si kwa bahati mbaya.It is all planned. Extension ya muda wa Rais........
Time will tell.Magufuli alishasema haoni mtu wa kuyaendeleza/kumalizia projects ambazo by 2025 zitakuwa hazijakwisha.Nakataa, siungi mkono hii kitu.