Mkutano wa Sekretarieti ya Halmashauri kuu ya Taifa na UVCCM, UWT na Wazazi | Komredi Polepole amejiuzulu

Mkutano wa Sekretarieti ya Halmashauri kuu ya Taifa na UVCCM, UWT na Wazazi | Komredi Polepole amejiuzulu

Hamna cha maandalizi, sana ni madaraka ya urais kuagiza vyombo vya dola na tume ya uchaguzi kuhakikisha ccm wanatangazwa washindi. Msitake kujifanya kuna mikakati sana wakati tunajua siri ya urembo ni madaraka ya urais yanayotumika vibaya.
Wewe endelea kulalamika tu humu mitandaoni kuingia barabarani hamtaki kazi kurudiarudia maneno tu humu,pamoja na kuyajua yote hayo ila bado mlikuwa mnaamini Lissu atatoboa wakati hamjafanya lolote kubadili hiyo hali ya tume ya uchaguzi na hivyo vyombo vya dola kumtangaza ccm mshindi.

Mlivyo wa ajabu 2025 mtakuwa mnajipa tena matumaini ya kushinda uchaguzi huku mkiwa hamna mlichokibadili,uchaguzi ukiisha mnakuja tena hapa kuimba nyimbo zilezile za tume ya uchaguzi na nguvu ya dola.

Ndio maana Polepole aliwaita wapinzani kuwa ni corona.
 
Kifupi tu mr slow slow ameenguliwa kitaalam zaidi. Kazi yake hawakuiappreciate
 
Hahaha Baraza la Mawaziri linakaribia kutangazwa na huyu dogo atakuwa Waziri na Bila Shaka wa habari
Sawa kabisa, jamaa anaenda kuwa waziri wa habari, michezo na sanaaa. Ila itakuwa bado ni matumizi mabaya ya nafasi 10 za rais.
Haiwezekani kuwa bungeni una zaidi ya wabunge 240 ushindwe kupata mawaziri 40+ mpaka uteue wengine wa viti maalum kwa gharama za kodi za wanyonge na walala hoi. Ni bora kama alimhitaji kuwa waziri angeshauriwa kujiuzulu akagombee ubunge, na kama angeshindwa basi amteue kama ni special hivyo ingeweza kueleweka.
 
Back
Top Bottom