Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mwanachama wa chadema? Kama jibu ni hapana hiki kimbelembele cha kuwazungumzia wana chadema unakitoa wapi?Mbowe hajasema huyo lissu anapoteza muda tu!
Chadema wa kweli wamenielewa!Wewe ni mwanachama wa chadema? Kama jibu ni hapana hiki kimbelembele cha kuwazungumzia wana chadema unakitoa wapi?
Uzushi hujaanzq leo. Ni kawaida yako. Kwako wewe shida za watanzania chanzo chake ni cahdema na siyo walafi. Matapeli, wahuni na wala rushwa waliojazana hapo lumumba na kwenye ofisi za umma kulikojaa mchwa [rejea taaifa ya CAG]Chadema wa kweli wamenielewa!
Chadema ingekuwa haina wala rushwa isingekubali kumpokea wala rushwa na wahuni 2015,Chadema original wamenielewa!Uzushi hujaanzq leo. Ni kawaida yako. Kwako wewe shida za watanzania chanzo chake ni cahdema na siyo walafi. Matapeli, wahuni na wala rushwa waliojazana hapo lumumba na kwenye ofisi za umma kulikojaa mchwa [rejea taaifa ya CAG]
Baad ya 2025 hao wala rushwa waliopokelewa na Chadema walienda wapi na sasa wako wapi? Ulishawahi kusikia chama chochote duniani kinanunua wabunge na madiwani wa chama kingine na kuwaruďisha kwenye nafasi zilezile kwenye majimbo yaleyale kwa gharama za walipa kodi walewale? Ccm asili watakuwa wamenielewaChadema ingekuwa haina wala rushwa isingekubali kumpokea wala rushwa na wahuni 2015,Chadema original wamenielewa!
2025 bado ila yule aliyepeperusha bendera ya uchaguzi nafasibya urais alikuwepo kwenye tovuti ya Chadema kama fisadi na mla rushwa nchini baada ya kuwapa rushwa viongozi wakuu chadema walifuta ile taarifa mpaka leo hawana uthubutu hata huyo lissu likifika suala la rushwa mdomo unajaa mate!Chadema original wamenielewa!Baad ya 2025 hao wala rushwa waliopokelewa na Chadema walienda wapi na sasa wako wapi? Ulishawahi kusikia chama chochote duniani kinanunua wabunge na madiwani wa chama kingine na kuwaruďisha kwenye nafasi zilezile kwenye majimbo yaleyale kwa gharama za walipa kodi walewale? Ccm asili watakuwa wamenielewa
Baada ya yule mla rushwa kuondoka chadema alirudi kwa wala rushwa wenzake? Tena na kupokelewa kishujaa na mpinga rushwa mkuu wa wakati huo? Nikisema hivyo nitakuwa nimekosea?2025 bado ila yule aliyepeperusha bendera ya uchaguzi nafasibya urais alikuwepo kwenye tovuti ya Chadema kama fisadi na mla rushwa nchini baada ya kuwapa rushwa viongozi wakuu chadema walifuta ile taarifa mpaka leo hawana uthubutu hata huyo lissu likifika suala la rushwa mdomo unajaa mate!Chadema original wamenielewa!
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anatarajiwa kuongea na waandishi wa habari muda wote kuanzia sasa.
Fuatilia updates kadiri zitakavyojitokeza.
This Man is very brave....God alresdy blessed himTaifa Linaongea na Dunia nzima (EU World Bank IMF Trump Mabalozi) wanasikiliza
Huko nje Tunaitwa majina ya ajabu ajabu kwa sababu ya Mambo ya kikkuda kama haya Mijitu mizima ustaraabu SIFURI
Unaharibu Uchaguzi kwa sababu za uchawa utazani hizo fedha za kuendeshea uchaguzi mnazitoa kwenye Familia zenu
Hahaha lisu akipiga ngoma CHAWA wanaselebuka.wanasema hana wafuasi nyooooo..baada ya Lissu kuzungumza Nchimbi amekurupuka kuita waandishi wa habari.
Hahaha..baada ya Lissu kuzungumza Nchimbi amekurupuka kuita waandishi wa habari.
Ndio maana rushwa aliyoiwacha mpaka leo hii chadema haina agenda ya rushwa wanavyo ogopa kuipigia kelele rejea uchaguzi wa kanda!Baada ya yule mla rushwa kuondoka chadema alirudi kwa wala rushwa wenzake? Tena na kupokelewa kishujaa na mpinga rushwa mkuu wa wakati huo? Nikisema hivyo nitakuwa nimekosea?
Hahaha lisu akipiga ngoma CHAWA wanaselebuka.wanasema hana wafuasi nyooooo
Kwani mwenye dhima ya kuikemea rushwa Tanzania ni chadema tu? Magufuli pamoja na kelele zoote alizopiga kuhusu rushwa alibadilisha sheria gani ya kuzuiya na kupambana na rushwa Tanzania? Au na hili nalo lilihitaji chadema?Ndio maana rushwa aliyoiwacha mpaka leo hii chadema haina agenda ya rushwa wanavyo ogopa kuipigia kelele rejea uchaguzi wa kanda!
Siyo kwamba hawamwelewi. Wanamuelewa ila tatizo lipo kwenye kumjibu..Lissu ana kipaji, na hoja.
..tatizo ni Watanzania wanamuelewa kiasi gani.
Siyo kwamba hawamwelewi. Wanamuelewa ila tatizo lipo kwenye kumjibu
Na akashindwa kumuua akadondoka yeye puuuu. Chuma bado kinadunda..Magufuli alichanganyikiwa akaamua kutumia risasi.