Pre GE2025 Mkutano wa Tundu Lissu na Waandishi wa Habari Singida Novemba 12, 2024

Pre GE2025 Mkutano wa Tundu Lissu na Waandishi wa Habari Singida Novemba 12, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maneno meengi content kidogo.
Ulitaka 'content' ipi hasa?

Katika hayo maneno mengi hakuna hata 'content' uliyo iona ili uizungumzie?

Basi ngoja mimi nikupe moja ambayo nimeiona na ni dhahiri kabisa, sisikie wewe unasemaje kuhusu hiyo: Hilo la watu kwenda kwenyemazungumzo ya " faragha", wewe hili unalionaje?

Ukiniuliza mimi nitakwambia bila kupepesa macho, kwamba huko ndani ya CHADEMA kuna akina Msigwa wengi sana walio jazana huko.
 
Siasa za Tanzania ni shida. Chukulia yote aliyoongea kwa muktadha wa kutoa elimu kwanini habari za ‘nusu mkate’ ni changa la macho kwa siasa za Tanzania,
Leo tena akili yako inafanya kazi kivingine kabisa, tofauti na ile nyingine inayo himiza kummaliza kwa risasi nyingine mtu huyo huyo!

Nimekusoma hadi mwisho wa bandiko lako, na ninakubaliana nawe moja kwa moja. Huko ndani ya CHADEMA yenyewe kuna tatizo kubwa. Kuna watu wenye njaa kali walio tayari kuungana na Samia ili waendelee kuliangamiza taifa hili.
 
Siku lissu akchoka kuongea na kukata tamaa...🥺🤔🙇🏿‍♂
"Kuchoka; kukataa tamaa"?
Hakuna kiongozi wa kweli hufanya hivyo.

Hao wanao choka na kukata tamaa ni 'opportunists' tu, siyo viongozi wa kweli.

Siamini kuwa Lissu ni 'opportunist'. Zile risasi zilitosha kabisa kumnyamazisha. Wakati huu asinge kuwa tofauti na "wafu" wengine walio tangulia mbele ya haki. Yeye angekuwa anasubiri tu siku yake ifike.
 
Baada ya yule mla rushwa kuondoka chadema alirudi kwa wala rushwa wenzake? Tena na kupokelewa kishujaa na mpinga rushwa mkuu wa wakati huo? Nikisema hivyo nitakuwa nimekosea?
Sema tu mkuu 'Kinowamiguu', kwa upande wangu ninakuelewa vizuri sana. Hii sasa ndiyo nchi yetu pendwa!

Sasa tunasubiri naye Samia atuonyeshe ufundi wake ulivyo!
 
Ulitaka 'content' ipi hasa?

Katika hayo maneno mengi hakuna hata 'content' uliyo iona ili uizungumzie?

Basi ngoja mimi nikupe moja ambayo nimeiona na ni dhahiri kabisa, sisikie wewe unasemaje kuhusu hiyo: Hilo la watu kwenda kwenyemazungumzo ya " faragha", wewe hili unalionaje?

Ukiniuliza mimi nitakwambia bila kupepesa macho, kwamba huko ndani ya CHADEMA kuna akina Msigwa wengi sana walio jazana huko.
Hilo jambo ni gumu.

Inategemea ntu na ntu.

Umeingia kwenye siasa kwa malengo gani.

Mwisho wa siku hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Mtu amesugua benchi kwa muda mrefu umri unasonga matumaini yanapungua anaamua kupunguza vigezo.
 
Mtu amesugua benchi kwa muda mrefu umri unasonga matumaini yanapungua anaamua kupunguza vigezo.
'Pragmatism' si kubwaga manyanga. Kiongozi wa kweli ha'compromize' misingi ya anacho kiamini.
Kuungana na CCM kwa namna yoyote katika hali kilicho fikia chama hicho sasa hivi, eti kwa "kupunguza vigezo", huo ni usaliti kwa kiongozi wa namna hiyo.
 
Back
Top Bottom