Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Kwa mara ya kwanza dini inatumika mwaka huu kuipatia CCM madaraka..
Kuna kitu cha ajabu kitatokea..
Watch this space
Kuna kitu cha ajabu kitatokea..
Watch this space
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameharibu sana aisee
Wanasema mungu wa yakobo ndio huyo mungu wa yohana mimi nakataa, Mungu aliyetupa amani na mungu wa maaskofu ukumbini leo ni wawili tofautiViongozi wa dini wanatambua sana juhudi za Rais Magufuli.
Mungu awabariki viongozi wetu wa dini.
Nakuunga mkono kuna jambo kubwa sana litatokeaKwa mara ya kwanza dini inatumika mwaka huu kuipatia CCM madaraka..
Kuna kitu cha ajabu kitatokea..
Watch this space
Mungu wa isacka,Yacobo,Yohana ndo Mungu aliewapa hekima na busara viongozi wetu wa dini kuamua kukutana na Rais wetu kipenzi Rais Magufuli.Wanasema mungu wa yakobo ndio huyo mungu wa yohana mimi nakataa, Mungu aliyetupa amani na mungu wa maaskofu ukumbini leo ni wawili tofauti
Huoni wapinzani na tawala wamefikia hatua ya kurushiana mawe, kuchomeana ofisi kukamatana HAPO ndipo dini ilitakiwa kusimama kati kati na kukemea sio kuunga mkono upande mmoja"Inasikitisha kuambiwa watu hawa wanaliombea Taifa amani, Taifa ambalo linapandikizwa chuki na visasi vinavyopewa baraka na viongozu hao hapo wa dini".
Mkuu, ebu fafanua vizuri hapo juu.
Hiyo sio busara ni uhuni huu ulikuwa muda wa kukemea mbinu chafu na Ubabe wa watawalaMungu wa isacka,Yacobo,Yohana ndo Mungu aliewapa hekima na busara viongozi wetu wa dini kuamua kukutana na Rais wetu kipenzi Rais Magufuli.
Kwa Mara ya kwanza toka siasa zianze madhabahu inataka kua kituoo cha nani awe liwali ,au mfalme ama Rais. Nikikumbuka Rwanda nbaki kusema hiiiiiiiiiiiiiii!!!Viongozi wa dini sisi waumini tupo nyuma yenu.nyinyi mnaongozwa na roho wa Mungu,mema mnayofanya hakika ni miongozo iliyobarikiwa na Muumba mbingu na nchi.
Mungu awaongoze mzidishie upendo wenu kwa Rais wetu kipenzi JPM.
Viongozi wa dini sisi waumini tupo nyuma yenu.nyinyi mnaongozwa na roho wa Mungu,mema mnayofanya hakika ni miongozo iliyobarikiwa na Muumba mbingu na nchi.
Mungu awaongoze mzidishie upendo wenu kwa Rais wetu kipenzi JPM.
Ukweli viongozi wa dini wamefanya jambo la hovyo sana . Kwanza hawakupaswa kuwa hivyo
Dawa yao ni kiwanyima sadaka tu
Kwani Kanisani unamfuata mchungaji?!Kuna haja ya kuacha kwenda MAKANISANI.
MAKANISA yote Ni CCM