richard kaswalala
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 246
- 134
Umeshawahi toa kwa hao watoto yatima?.au ndio unaanza kufikilia
Kabisa bora tupeleke kwa watoto yatima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa bora tupeleke kwa watoto yatima
Kwa mara ya kwanza dini inatumika mwaka huu kuipatia CCM madaraka..
Kuna kitu cha ajabu kitatokea..
Watch this space
Wanasema mungu wa yakobo ndio huyo mungu wa yohana mimi nakataa, Mungu aliyetupa amani na mungu wa maaskofu ukumbini leo ni wawili tofauti
Nimesaidia wahitaji wengi sijui we si unampa GWAJIMAUmeshawahi toa kwa hao watoto yatima?.au ndio unaanza kufikilia
Tokomeza zeroKweli Mungu wetu ni mkuu na ndio maana amelifanya taifa la Tanzania kuishinda corona.magufuli ooyeeee!!!
Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa risasi, hakuna hata mmoja aliyetokea hadharani kukemea jambo hilo hata angalao kulia pamoja naye.Mungu wa isacka,Yacobo,Yohana ndo Mungu aliewapa hekima na busara viongozi wetu wa dini kuamua kukutana na Rais wetu kipenzi JPM.
Ukimaanisha?Na ninyi tumieni waganga kuingia ikulu
Hiyo sio busara ni uhuni huu ulikuwa muda wa kukemea mbinu chafu na Ubabe wa watawala
Nimesaidia wahitaji wengi sijui we si unampa GWAJIMA
Wote wapo ila shehe Ponda ndio sijamuona.Nataka kufahamu Kama TEC wamewakilisha
Tundu Lisu ndio ameanza!Hivi kampeni zimeshaanza rasmi au ndio ubabe!!
Hii Kamati ya Amani kama sikosei ni kamati ambayo inahusisha viongozi wa dini wa Dar es Salaam tu, si ya kitaifa. Kuna haja ya viongozi wa dini wa kitaifa kulisemea hili tukio kama na wao wamelibariki kwa jinsi lilivyo. Kama hawatafanya hivyo, kuna haja ya waumini kuomba viongozi wa kitaifa wa dini walisemee swala hili ili kufahamu msimamo wao, vinginevyo waumini wafanye protests za kutokwenda nyumba za dini mpaka pale maelezo sahihi ya huu msimamo uliogemea upande mmoja utakapopata maelezo yanayoridhisha.Kuna haja ya kuacha kwenda MAKANISANI.
MAKANISA yote Ni CCM
Acha hao wachumia tumbo wengine..namaanisha Baraza la maaskofu Tanzania wapo?Wote wapo ila shehe Ponda ndio sijamuona.
Shame on you.Tundu Lisu ndio ameanza!
Ndio wapo mbona mgumu kuelewa!Acha hao wachumia tumbo wengine..namaanisha Baraza la maaskofu Tanzania wapo?
Wanachokifanya kitawagalimu sana.
Haiwezekani kiongozi wa dini hasa kipindi hiki mnakuwa na biases
Its so bad