Mr Tyang
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 1,728
- 6,806
Naona sindano imepenya kwenye makalio tulia Sasa dawa ikuingie bwashe..Kiukweli hao viongozi watakuwa ni wapumbavu sana!
Siasa zinawafanya kuwa vipofu na wajinga Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona sindano imepenya kwenye makalio tulia Sasa dawa ikuingie bwashe..Kiukweli hao viongozi watakuwa ni wapumbavu sana!
Swala la tund lissu kupigwa risasi na hao wengine Sijui kupotea Niya kiintelijensia zaidi Huwezi ukatoka tu ukaanza kupayuka bila ushahidi wa kutosha Ila Mambo aliyofanya Mh. Rais yanaonekana kwa macho kiasi kwamba hata mtoto wako anaweza kukusimulia vizuri kabisa na akakuelewesha.Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa risasi, hakuna hata mmoja aliyetokea hadharani kukemea jambo hilo hata angalao kulia pamoja naye.
Maiti zilipokuwa zinaokotwa kule ufukweni, hakuna hata mmoja aliyejitokeza kuhoji watawala watoe maelezo kuwa zilifijaje hapo, licha ya kitendawili kuwa ni za nani. Maiti zilizookotwa mto Ruvu sikuwasikia wakihoji. Mauaji ya Aquilina sikuwasikia. Kwamba Ben Saanane yuko wapi, Azori Gwanda , Simon Kanguye sikuwasikia hata viongozi wa madhehebu yao wakihoji. Amani wanayoiomba ni ipi? Nadhani wangeliomba kuwa haki itamalaki zoezi lote la uchaguzi. Nadhani wangelitubia dhambi ya rushwa iliyotamalaki katika zoezi la awali la watia nia, na kukukemea lisiwepo wakati wa uchaguzi. Nadhani wangekemea kauli kama zile za kutumia vyombo vya dola ili kubaki madarakani n.k. Hawa sio wa kweli wala wa haki wala sio wapenda amani ya kinaukweli. Yarabi tunusuru.
Viongozi wa dini ni vinywa vya binadamu wanyonge wanaoonewa na mfumo wowote. Kazi yaoni kuhoji na kukemea watawala wanapoonea watu wengine iwe kwa kutumia diplomasia au kutumia neno la kinabii au njia nyingine yoyote. Watu wanatekwa na kuumizwa na binadamu wajiitao watu wasiojulikana na viongozi wa dini wapo kimya eti tukubali kuwa ni suala la kiintelijensia hivyo wakae kimya. Mie sisemi wafanye uchunguzi. Ila Wawahoji wenye dhamana ya ulinzi wa watu na mali zao. Wawaulize kuwa kulikoni watu wanapotezwa? Kulikoni maiti zinaokotwa zikiwa zimeharibika? Kulikoni lipo kundi jipya llinaloitwa watu wasiojulikana katika jamii yetu?Watake majibu kutoka kwa wasimamizi wa hizo intelijensia kwa niaba ya waumini wao! Nani anatakiwa kuwahoji watawala mambo hayo kama sio viongozi wa dini? MO katekwa halafu kaachiwa na watu wasiojulikana. Roma Mkatoliki katekwa na watu wasiojulikana na akapatikana. Lisu kapigwa risasi na hao. Na hao waliotoweka hawajapatikana wakiwa hai au maiti zao. Haiyumkiniki kuwa hao ni kati ya maiti zilizookotwa mto Ruvu au fukweni? Viongozi wa dini wanao wajibu kwa niaba ya dini zao kuwahoji watawala. Ndio maana tunawashangaa kwa haya wafanyayo sasa.Swala la tund lissu kupigwa risasi na hao wengine Sijui kupotea Niya kiintelijensia zaidi Huwezi ukatoka tu ukaanza kupayuka bila ushahidi wa kutosha Ila Mambo aliyofanya Mh. Rais yanaonekana kwa macho kiasi kwamba hata mtoto wako anaweza kukusimulia vizuri kabisa na akakuelewesha.
Ikumbukwe; mpaka leo pamoja na Lissu kujikuta anajua Mambo mengi na Sheria kibao bado hata yeye hajui namna ya kutetea kesi yake na ya wale wenzake waliopotea alichobakiza nikusema watu wasiojulikana na kulialia online tu Basi.
Ndio maana ulaya na Marekani vijana hawana muda na mambo ya dini halafu huwa tunawaona wamepotoka, kumbe wako sahihi [emoji817][emoji817]
Kwa ujinga huu makanisa ni lazima yakose watu ndani ya miaka michache tu mbele.
Ukweli viongozi wa dini wamefanya jambo la hovyo sana . Kwanza hawakupaswa kuwa hivyo
Kula tanoAsante kwa taarifa. Nishajua cha kufanya kwenye bahasha zangu za Ahadi, Jengo na Uwakili. Fungu la kumi nilishamalizana nao bado hizo zingine
😁😁Kama utaamua kutumia akili na kuacha hisia za uoga, kusujudu na kuabudu binadamu basi utagundua DINI ya kweli huwezi kuipata kwenye NYUMBA ZA IBADA katika karne hii ya 21.
Ni kwasabau DINI zetu zimeingiliwa na Tamaa, chuki, unafiki, ulafi na uongo wa hali ya juu na tunatumia nyumba za ibada kuficha dhambi Hizi. Viongozi wa dini leo hii wanatukana hadharani wapate nafasi za kisiasa, wanachochea chuki na badala ya kuunganisha watu wao ndio chanzo cha matabaka na mgawanyo.
Hakuna Dini nzuri kama kuhubiri na kuishi UPENDO, kusaidia WAHITAJI na kuwasamahe wale wote waliotukusea. Hizi ni bidhaa adimu kwenye dini za leo ambazo viongozi Wamekuwa MABALOZI wanasiasa.
Inasikitisha kuambiwa Watu hawa wanaliombea taifa amani, taifa ambalo linapandikizwa chuki na visasi vinavyopewa baraka na viongozi hao hao wa dini.
Hawa viongozi wa dini ni wa kupingwa vikali na wanasiasa wa vyama vyote sio CCM, CHADEMA,ACT n.k
😁😁Dini ya kweli ni ile aliyosali babu yangu chini ya mti akiomba masanva yamusaidie.
Dini iliyokuwa na miiko, sio hizi zinazohubiri hata kunywa mwarobaini ni dhambi.
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
😁😁Mkuu ndiyo sababu Watanzania wengi wanaojitambua hawaoni umuhimu tena kwenda misikitini na makanisani kuwasikiliza hawa wanafiki AKA Viongozi FAKE wa dini.
Uishi mileleArusha mkuu
Hutaki Serikali iseme mazuri yake?Kweli siasa SI HASA. Kuna viongozi wa dini na waumini wanaowaongoza ambao wana ufuasi wa kisiasa tofauti lakini viongozi wanaonesha wanaegemea wapi hata kama jambo(event) lipo kiserikali? Mafungu ya 10 yataendelea kutolewa na wale wengine hata kama ni jambo la kiimani?
Mungu ana jambo lake hapo October 28, Acha wajaeee wote Kwa JPM, kama ulivyokuwa kipindi cha vita Kati ya wanaisraeli vs washami, wakoma kumi tuu kishindo Chao kiliwakimbiza jeshi la washami ndivyo itavyokuwa!Kwa mara ya kwanza dini inatumika mwaka huu kuipatia CCM madaraka..
Kuna kitu cha ajabu kitatokea..
Watch this space
Ni wenye ukoma wanne tu mkuu, siyo kumi.Mungu ana jambo lake hapo October 28, Acha wajaeee wote Kwa JPM, kama ulivyokuwa kipindi cha vita Kati ya wanaisraeli vs washami, wakoma kumi tuu kishindo Chao kiliwakimbiza jeshi la washami ndivyo itavyokuwa!
Hii vita Daudi (lissu) vs Goliath (meko)