Mkutano wa wana MMU kwa ajili ya kujumuika

Mkutano wa wana MMU kwa ajili ya kujumuika

Mjiandae kwa kupigwa picha pasipo kujuwa zisambazwe mtandaoni, tuta watambua kwa kulinganisha na id yako
 
Jamaa anasema anataka kutumia fursa hiyo kutafuta mchumba, atagharamia bites na vinywaji, sasa wewe mwanaume jichanganye uende uone msala wake.
Tatizo unachukulia serious
Post ya kimagumashi
Inajibiwa kizushi......
Unafikiri mtoa mada ana jeuri hiyo? Ht mademu wenyewe wtaamuacha anang'aa sharubu tu

Sipo serious hapa Jf
Just a funny!!
 
Ndugu wapendwa,

Naandaa mkutano wa wanaMMU, lengo ni kukutana kimwili (physically) kwa ajili ya kujumuika (kusocialize).

Naamini mkutano huo utatoa fursa ya kufahamiana, kubadilishana mawazo, kushirikiana na hata kuanzisha mahusiano, urafiki na mapenzi imara zaidi.

Katika mkutano huo hakutakuwa na kujuana kwa majina yetu ya JF, ila kama mtu una wasiwasi wa kuwepo mamluki, unaweza tu kumwuuliza maswali machache kuhusiana na MMU, mfano, hebu mwelezee lara 1 wa MMU kwa sentensi moja, au malizia hili jina maarufu la mwana MMU: miss ******, n.k., Nasisitiza kuwa hakutakuwa na kufahamiana majina yetu ya humu (mimi mwandaaji hamtanifahamu pia).

Kipekee nataka kuitumia fursa hii kupata mchumba. Tupeane ushauri wa mahali pa kukutania (ukumbi), Tarehe, muda n.k. Kutakuwa na vinywaji na bites ambazo mimi nitagharimia 100% ya kila kitu, vitu vingine mtajinunulia wenyewe. Baada ya kuridhia huu mkutano na kukubaliana taratibu zingine, nitamwomba mwana MMU mmoja maarufu, aanzishe thread ya kukusanya idadi ya watakaohudhuria.

Karibu kwa maoni.
Mkuu mchango sh, ngapi
 
Natoa ushauri,msipigane picha na kurusha mitandaoni
Hata kama ukipigwa picha haiwezi kuhusianishwa na ID yako, labda wewe mwenyewe uamue kuwaambia watu. Unaogopa picha, kwani unataka kuja uchi? Tutakaa kiheshima sana kuliko unavyodhani, maana hujui wadau gani wataibuka, labda boss wako, mama, dada, jirani etc., au hata JPM - ni member mzuri tu humu.
 
Hata kama ukipigwa picha haiwezi kuhusianishwa na ID yako, labda wewe mwenyewe uamue kuwaambia watu. Unaogopa picha, kwani unataka kuja uchi? Tutakaa kiheshima sana kuliko unavyodhani, maana hujui wadau gani wataibuka, labda boss wako, mama, dada, jirani etc., au hata JPM - ni member mzuri tu humu.
Sawa. Naona una nia ya dhati kabisa
 
nitakuwepo mpendwa wangu lakini mshauri mtoamada tuwe watatu tu!! mimi mchumba wewe mshenga nayeye tupunguze matumizi yasiyo na lazima

Sentensi yake ya kwanza kabisa amesema lengo ni kukutana kimwili.

Sasa hapo mshenga anahusika kweli?
 
Back
Top Bottom