Mkuu Le Mutuz tajiri wa roho

Mkuu Le Mutuz tajiri wa roho

Mkuu,

Lemutuz aisee mungu akuwekee sana msaada wako unaotoa kwa jamii hautaweza kusahaulika unafanya mambo makubwa sana kwenye japo watu wengi hawauoni au ni husuda za watu wenye vijiba vya roho tu.

Lemutuz ni mtu poa sana inshort ni Tajiri wa roho ila dunia ilivyo mti wenye matunda hupigwa mawe au Kuna mijitu ina [emoji813] mbaya au hawapendi mafanikio ya wenzao.

Mkuu kupitia Ile mishe nimejua na watu wengi na kupata madili ya mamilioni kwenye akauti now imetuna sana .

Mkuu lemutuz wewe ndiyo umeniinspire kujiunga na jamiiforum kutokana na kuwa mtu mwenye America spirit na usiyekuwa na mbambamba uko straight sana mkuu!

Hakika mkuu lemutuz we mtu safi inshort we Tajiri wa [emoji813] hauna mbambamba pia sijamsahau lumumbashi nal gaganiga nyie watu safi mungu awabless.

"Kama uko sensitive na chuki au kijiba cha roho huu uzi haukuhusu"
"Tanri kutsasin"
Unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe....
 
Huyo tulikutana cap town akashindwa ninulia ata bia tatu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpka nikanywa maji ya dasan
Unapenda sana vya kupewa?? Vina madharaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu,

Lemutuz aisee mungu akuwekee sana msaada wako unaotoa kwa jamii hautaweza kusahaulika unafanya mambo makubwa sana kwenye japo watu wengi hawauoni au ni husuda za watu wenye vijiba vya roho tu.

Lemutuz ni mtu poa sana inshort ni Tajiri wa roho ila dunia ilivyo mti wenye matunda hupigwa mawe au Kuna mijitu ina ♥ mbaya au hawapendi mafanikio ya wenzao.

Mkuu kupitia Ile mishe nimejua na watu wengi na kupata madili ya mamilioni kwenye akauti now imetuna sana .

Mkuu lemutuz wewe ndiyo umeniinspire kujiunga na jamiiforum kutokana na kuwa mtu mwenye America spirit na usiyekuwa na mbambamba uko straight sana mkuu!

Hakika mkuu lemutuz we mtu safi inshort we Tajiri wa ♥ hauna mbambamba pia sijamsahau lumumbashi nal gaganiga nyie watu safi mungu awabless.

"Kama uko sensitive na chuki au kijiba cha roho huu uzi haukuhusu"
"Tanri kutsasin"
Sawa dada lemutuz
 
Mkuu,

Lemutuz aisee mungu akuwekee sana msaada wako unaotoa kwa jamii hautaweza kusahaulika unafanya mambo makubwa sana kwenye japo watu wengi hawauoni au ni husuda za watu wenye vijiba vya roho tu.

Lemutuz ni mtu poa sana inshort ni Tajiri wa roho ila dunia ilivyo mti wenye matunda hupigwa mawe au Kuna mijitu ina [emoji813] mbaya au hawapendi mafanikio ya wenzao.

Mkuu kupitia Ile mishe nimejua na watu wengi na kupata madili ya mamilioni kwenye akauti now imetuna sana .

Mkuu lemutuz wewe ndiyo umeniinspire kujiunga na jamiiforum kutokana na kuwa mtu mwenye America spirit na usiyekuwa na mbambamba uko straight sana mkuu!

Hakika mkuu lemutuz we mtu safi inshort we Tajiri wa [emoji813] hauna mbambamba pia sijamsahau lumumbashi nal gaganiga nyie watu safi mungu awabless.

"Kama uko sensitive na chuki au kijiba cha roho huu uzi haukuhusu"
"Tanri kutsasin"
"Japo watu wengi hawauoni." Inamaana anatoa gizani
 
Back
Top Bottom