Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Inaweza saidiadah! Unadhani ndo suluhu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza saidiadah! Unadhani ndo suluhu?
kha ila mbona mimi niliwahi kuishi na mwanamke na hata hamu na muda wa kupiga sikupata kabisa.... na sasa naishi peke yangu na bado sipigi punyeto nikionana na papuchi mara mojamoja naridhika tu siku zinasonga sasa huyu yupo na papuchi analala nayo anaamka nayo shida ipo wapi?Punyeto % kubwa inapigwa na watu walio kwenye relationship au ndoa
Sisi single Muda wetu mwingi tunaumaliziaga JF na Katika Kazi tu.
Akimalizana na punyeto atahamia kwa wanawake wa majiraniAkatembeza kwa nani sasa?
Majanga tumh! Waweza kukuta hata mkewe mwenywwe hamridhishi ila ndo hivyo tu ni mazoea
Ndio ukaazane,ujenge kwako uhamie.Habari wakuu,
I know kwamba ni issue ambayo naweza kuikaushia ila nahisi ni tabia ambayo imenikera sana.
Hapa ninapoishi kuna jirani yangu nahisi ana urahibu wa kujichua, Alafu ubaya ni kwamba anajichulia bafuni ambapo vyoo vyetu hivi vya public inakuwa sio ustaarabu, Huyu mwamba ananikwaza zaidi pia jinsi nikitafakari kuwa ana mke na ana watoto wawili mapacha wana mwaka mmoja na bado mkewe ana mimba ndo anazidi kunikwaza😡😡😡.
Hapa natamani kumchana live ila naona noma. Lengo hapa ni kwamba pengine kama yupo humu aone huu uzi aache tabia yake ya hovyo, Mtu una mke na watoto na mke ana mimba ila bado una unaendeshwa na nyege kama mpumbavu je, sisi single tufanye nini?, Ukishindwa kujizuia basi tafuta pa kufanyia hayo madude yako sio vyooni... Mtu unaingia bafuni unapishana na harufu ya bao😡
Na huku kama kuna mtu ana pigo hizo aache bana maana haijakaa poa mtu una mke na bado unajichua sasa maana ya mke ni nini?
Bullshit😡
Haikua rahisi na ilichukua mda na kuna stage ikishafikia ni ngumu sana kuacha.mbona mimi niliacha mkuu?
Story tu hizo.anachafua bafu ambalo anajua sio lake binafsi.
Hata sio solutionn itapunguzaa tyu[emoji1787][emoji1787]Aongeze mke
Kumbe wapiga nyeto hua wanapigisha mimba juu ya mimba yaan mimba mfululizo ? Aisee apewe heshima yako dronedrake mpe Kadi ya uanachama huyu mkuuHuyu mwamba ananikwaza zaidi pia jinsi nikitafakari kuwa ana mke na ana watoto wawili mapacha wana mwaka mmoja na bado mkewe ana mimba ndo anazidi kunikwaza
Ndio hvyo uraibu kuacha inahtaji muda sio jambo la kusema leo naacha mna ukafanikiwayah inawezekana maana pia nili-hustle kwa kweli😅