Mkuu ukishaoa acha kujichua

Mkuu ukishaoa acha kujichua

Punyeto % kubwa inapigwa na watu walio kwenye relationship au ndoa

Sisi single Muda wetu mwingi tunaumaliziaga JF na Katika Kazi tu.
kha ila mbona mimi niliwahi kuishi na mwanamke na hata hamu na muda wa kupiga sikupata kabisa.... na sasa naishi peke yangu na bado sipigi punyeto nikionana na papuchi mara mojamoja naridhika tu siku zinasonga sasa huyu yupo na papuchi analala nayo anaamka nayo shida ipo wapi?
 
Habari wakuu,
I know kwamba ni issue ambayo naweza kuikaushia ila nahisi ni tabia ambayo imenikera sana.

Hapa ninapoishi kuna jirani yangu nahisi ana urahibu wa kujichua, Alafu ubaya ni kwamba anajichulia bafuni ambapo vyoo vyetu hivi vya public inakuwa sio ustaarabu, Huyu mwamba ananikwaza zaidi pia jinsi nikitafakari kuwa ana mke na ana watoto wawili mapacha wana mwaka mmoja na bado mkewe ana mimba ndo anazidi kunikwaza😡😡😡.

Hapa natamani kumchana live ila naona noma. Lengo hapa ni kwamba pengine kama yupo humu aone huu uzi aache tabia yake ya hovyo, Mtu una mke na watoto na mke ana mimba ila bado una unaendeshwa na nyege kama mpumbavu je, sisi single tufanye nini?, Ukishindwa kujizuia basi tafuta pa kufanyia hayo madude yako sio vyooni... Mtu unaingia bafuni unapishana na harufu ya bao😡

Na huku kama kuna mtu ana pigo hizo aache bana maana haijakaa poa mtu una mke na bado unajichua sasa maana ya mke ni nini?

Bullshit😡
Ndio ukaazane,ujenge kwako uhamie.
 
Huyu mwamba ananikwaza zaidi pia jinsi nikitafakari kuwa ana mke na ana watoto wawili mapacha wana mwaka mmoja na bado mkewe ana mimba ndo anazidi kunikwaza
Kumbe wapiga nyeto hua wanapigisha mimba juu ya mimba yaan mimba mfululizo ? Aisee apewe heshima yako dronedrake mpe Kadi ya uanachama huyu mkuu
 
Kujichua kwa mwanaume nakuchukulia ni kama mwanamke ambae halizishwi/kufikishwa kileleni, ndo maana unamkuta mtu anaamua kujifikisha mwenyewe. Sishangai.
 
Back
Top Bottom