Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
From beginning Russia anajua the real enemy ni US kwenye kila jambo ambalo linaenda against Russia kunamkono wa American either directly or indirectlyAtajutia sana kuwaponza wenzake....
Nothing can do wakati kafyeka watu zaidi ya 150 huko huko Moscow achilia majeruhi kibaoAlso nothing Biden can do to Russia
Kwan kuna sehem wamesema hao ni waislamila hii dunia watu wahuni sana,, halaf wakasaka waislam wa hukohuko ndo waende kwenye tukio baadae unataka kuunganisha dini kwenye bifu zako,,.....ila sielewi kwanini waislam wengine wanakubali kutumika hivi ili kuchafua dini wanayoaminishwa wanaenda kuipigania ........Dini ni ka sayansi fulani kanafanania ladha na tunguli zetu za huku hii kwa pande zote za dini, upande wa pili kawatengeneza wazee wa taifa la Mungu ila full kupigania mambo ya kishetani na wana wafuasi wa kutosha...........hizi kitu bora kurudi kwa wazee tu
Hiyo mbona hata kinchi kidogo cha Rwanda kinaweza kufadhili magaidi kwenda kuua kokote kule.. Ugaidi hauna ukubwa wa mtu au mabavu ya nchi .Nothing can do wakati kafyeka watu zaidi ya 150 huko huko Moscow achilia majeruhi kibao
Ugaidi hauangalii wewe ni super power au wa kawaida ndio maana Israel pamaja na uimara wake lakini wamekuwa wakitaabika sana na Ugaidi. Hata Marekani imeteswa sana na ugaidi hadi ndani ya ardhi yake.How? Isn’t the FSB head claiming the US was involved in the recent attack?
Sasa Putin analalamika niniAlso nothing Biden can do to Russia
How credible is the source?Wanaukumbi.
Mkuu wa Huduma ya Usalama ya Shirikisho la Urusi alisema leo, "Marekani, Uingereza, na Ukraine, ndizo zilizohusika na shambulio la ukumbi wa tamasha la Moscow".
Hayo ni madai mazito ... yenye athari za ulimwengu ...
.Info-Flash - United Kingdom : Actualités
United Kingdom - Accédez en temps réel à toutes les informations locales et nationales, telles que les événements sportifs, les emplacements des défibrillateurs, les sorties, les actualités ainsi que les alertes locales et nationales.www.info-flash.com
---
Russian Federal Security Service Chief said today, “the US, Britain, and Ukraine, were behind the Moscow concert hall attack”.Those are serious allegations… with global implications…Regardless of who you think is telling the truth, tensions are high.
Wewe Faiza!! 🤨👉Umejuwaje kama wale ni Waislam? Muislam haruhusiwi kuua bila sababu. Na sababu zake ni mbili tu, au vita au kisasi.
Acha ukorofi!!Naam, umeniita?
Tatizo nini?
"ukorofi!!" Ndio nini?Acha ukorofi!!
Baada ya shambulizi BBC walisema kuwa waliohusika ni waislamKwan kuna sehem wamesema hao ni waislam
Acha jeuri!"ukorofi!!" Ndio nini?
Bila kuweka ushabiki na unazi. Dunia inapoelekea hakuna atakayesalia salama. Yaani mashabiki wa vita, Tusioshabikia vita, Wapiganisha vita na wapiganaji wa vita hakuna atakayetulia kwa utimilifu. Tunaenda kukanyagana bila kuhurumiana.Wanaukumbi.
Mkuu wa Huduma ya Usalama ya Shirikisho la Urusi alisema leo, "Marekani, Uingereza, na Ukraine, ndizo zilizohusika na shambulio la ukumbi wa tamasha la Moscow".
Hayo ni madai mazito ... yenye athari za ulimwengu ...
.Info-Flash - United Kingdom : Actualités
United Kingdom - Accédez en temps réel à toutes les informations locales et nationales, telles que les événements sportifs, les emplacements des défibrillateurs, les sorties, les actualités ainsi que les alertes locales et nationales.www.info-flash.com
---
Russian Federal Security Service Chief said today, “the US, Britain, and Ukraine, were behind the Moscow concert hall attack”.Those are serious allegations… with global implications…Regardless of who you think is telling the truth, tensions are high.