Mkuu wa FSB wa Urusi asema Marekani, Uingereza, Ukraine ndizo zilizohusika na shambulio la Moscow

Mtu ambaye nchi yake kuna watu wanalala barabara kwa umaskini mpaka wanafukuzwa miji mikubwa ,mtu huyo anatoa mabillion kuchochea vita unafikiria mzima kweli?

Daraja lile mpaka sasa hajajenga ila anapeleka pesa kuchochea vita?
 
Ushushwe Mzigo tu Mastori yamekuwa mengi mpaka wanakera.
 
Russia Ina majasusi wenye akili sana watakuja kulipiza kisasi kwa nchi zilizohusika matasikia hata baada ya Mika 5 mkiwa mmesahau!
 
ipo siku AMERIKA atapigwa kipigo cha ghafla,,,,"ipo siku mbaya kwa AMERIKA"
 
Mtu ambaye nchi yake kuna watu wanalala barabara kwa umaskini mpaka wanafukuzwa miji mikubwa ,mtu huyo anatoa mabillion kuchochea vita unafikiria mzima kweli?

Daraja lile mpaka sasa hajajenga ila anapeleka pesa kuchochea vita?
Kwani urusi hakuna homeless????
Dunia nzima wanakimbilia ulaya na marekani.....mpaka hao warusi.
NB: MPELEKEE MATOFALI AJENGE DARAJS KAMA UNA HARAKA NALO MKUU
 
Weka mstari, usilete porojo zako.
Bibi unaenda kudata...sasa unalazimisha kua mungu wa wakristo na wayahudi Yehova el shadai myahudi......
Kua ndio mungu wa waarabu na waislamu Allah msaudia ambae ni tasa hazai????
Afu unalazimisha Issa mwarabu kua ndio Yesu Emanuel myahudi simba wa kabila la Yuda mtoto pekee wa Yehova????
NB: MISTARI NDIO NINI BIBI.....KWANI MIMI MWANAMZIKI WA HIP POP???
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…