Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Marekani Afrika afungua mazoezi ya kijeshi baina ya US na Tanzania

Kama unajua kwanini kigamboni iliuzwa kwa america hadi Obama na Bushi wakaja utajua kigamboni itakuwa military Base ya america!!!Tujiulize kwanini kigamboni???wanaiona future ijayo ambayo sisi hatuioni!!!KAMUULIZE KIKWETE YEYE AMEWAHI KUA MJEDA NA ANAJUA ALIONGEA NINI NA BUSHI PIA OBAMA KUHUSU KIGAMBONI!!!!
 
Ni kama bwana mdogo fulani lakini daa..
Wacha niishie hapo
 
Ulitaka waje wachina,
 
Reactions: Qwy
Kwani tuliwahi kisimama lini? Au unaamini Tanzania kuna wakati wowote iliwahi kumpinga Marekani na nchi za magharibi na ikafanikiwa?

..wewe labda umri wako ni mdogo.

..kwa taarifa yako Tanzania iliwahi kutimua maofisa wa ubalozi wa Marekani hapa nchini.

..Tanzania pia ilishawahi kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na kuufunga ubalozi wa Ujerumani Magharibi.

..Sasa hivi tumekuwa watu wa kupiga domo tu na kudanganya-danganya wananchi kwa propaganda lakini hatuna msimamo wowote.

..Mwaka jana Tundu Lissu alisindikizwa na balozi wa Ujerumani mpaka uwanja wa ndege alipotokomea.

..Lissu ana kesi na alikuwa akihitajika mahakamani, lakini serikali na polisi wakaacha aondoshwe nchini na balozi wa Ujerumani.

..Jambo hilo lisingeweza kutokea wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere kwani wakati ule serikali na viongozi wetu walikuwa na misimamo na kamwe hawakuruhusu mabeberu watupande kichwani.
 
Punguza kuangalia movie.
 
..jeshi la marekani linaruhusu ushoga halafu sisi tuko kimbelembele kushirikiana nao kimafunzo.
Acha mafunzo Bawacha wanalala barabarani wakiomba wakamtoe Mbowe wakati msimamo wa Chadema walikubaliana mtu akikamatwa hamna kuwekea dhamana polisi wakae naye tu.
 
Wanakuja kujua udhaifu wa jwtz watachunguza kila kitu na kupandikiza wapelelezi wao humo baadae wakija kuanza chokochoko wanajua pa kupenyea
 
BEBERUUUUUUUUS Unafiki ni kitu kibaya sana.
 
Ni moja ya aina ya watu wapumbavu sana nchi hii, umeambiwa 2017 walikuwepo. Tangu enzi za nyerere tunapeleka wanajeshi na maafisa usalama kujifunza nje
Urusi china cuba German na Uingereza kiasi ndiyo wamekuwa wafadhili wakubwa na jwtz tokea Nchi inapata Uhuru, marekani kaanza kujipenyeza miaka ya karibuni
 
BEBERUUUUUUUUUS! 😂😂😂😂😂
 
Nchi nyingi hasa za kiafrika huwa hawapendi kuwa karibu na jeshi la marekani kwa Hofu ya kupandikiza matatizo baadae
Africom ni iliwekwa ili kupambana na ughaidi ambao unatishia maslahi ya Wamarekani. Ukiona wanashirikiana na majeshi ya nchi za Afrika, nia yao ni hiyo hiyo. Kuwafundisha jinsi ya kupambana na hao ambao Amerika inawaita maghaidi. Kwa hiyo JWTZ watapewa mafunzo, vifaa vya kivita ili wawe tayari kupigana na Al Shabaab, Al Qaeda, ISIS, na wengineo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…