Mkuu wa Kikundi cha Wagner Yevgeny Prigozhin, ametoa maoni yake juu ya mzizi wa matatizo nchini Niger

Ukisoma hiyo taarifa imesema ufaransa inauza kilo ya uranium kwa Dola 259+ lakini Niger inapata Dola 11 tu,prigozin anasema inawezekana kuwa na muwekezaji atayetoa 50/50,so Kama urusi atatoa zaidi kwa nini asipewe!?
 
Mabeberu yamezoea kupora sana maliasili za wanyonge, sasa yamenyang'anywa kwa nguvu kitoweo mdomoni. Ndio maana yanabwekabweka sasa.
 
Kama hatuna ndo tusherehekee kutawaliwa.Kumbuka humu hatujawahi kutawala.Fikiri kiakili, mfano kila eneo atawalalo mfaransa likichukuliwa daima.Ataweza kuwa na nguvu alizonazo kiuchumi kwa miaka 50 ijayo?
 

hivi kiranga,
wewe hufuatilia vita vya ukraine na urusi?
una maoni gani? Je anachofanya urusi ni sahihi.
 
Mapinduzi ya kijeshi NDIO suluhu la upumbavu wa Waafrika wengi hasa Yale mavyama yanayojiona ya milele
Wakina Mwigulu hawa wanaiba tu hela na kutuongezea kodi, sasa mijitu kama hii ikipinduliwa utasikitika kwa lipi, labda uwe mjinga na mpumbavu.
 
hivi kiranga,
wewe hufuatilia vita vya ukraine na urusi?
una maoni gani? Je anachofanya urusi ni sahihi.
Hii vita haina justification ya maana, hata Yevgeny Prigozhin mwenyewe alishasema.

Ni zile vita za "leo nasikia nyege za kumpiga mtu, niko bored, natafuta medali za ushujaa wa vita, ngoja nitafute kibonde wangu wa karibu nimpige nifurahishe watu wangu na kuwasahaulisha matatizo yao mengine"
 
Hivo visiwa kama St. Martin and the like havina rasimali ya kutosha kama zilizopo afrika.
 
Mapinduzi ya kijeshi NDIO suluhu la upumbavu wa Waafrika wengi hasa Yale mavyama yanayojiona ya milele

Kabisa rushwa na uporaji wa rasilimali za nchi kwa mgongo wa demokrasia huku wananchi wakiumizwa haikubaliki lazima viongozi wajinga wafurushwe ili kunusuru rasilimali kwa manufaa ya vizazi vijavyo
 
"Without Africa, France will slide down into the rank of a third [world] power."

—Former French President Jacques Chirac, March 2008
Hili limejionesha hata kwenye mpira
 

umeifuatilia historia yake ilipoanzia?
huoni kama warusi walichokozwa?
au hauifuatilii kabisa, kwa sababu sijawahi ona maoni yako kuihusu ?
 
umeifuatilia historia yake ilipoanzia?
huoni kama warusi walichokozwa?
au hauifuatilii kabisa, kwa sababu sijawahi ona maoni yako kuihusu ?
Hili sakata maongezi yake yamekaa kishabiki zaidi na watu washaamua pande wanazotaka ku support kwa sababu ya nostalgia.

Sijaona mtu anayetafuta facts, anayeangalia evidence, kwa hivyo sikutaka kuingia jatika mizozo ya ligi za Simba na Yanga.

Warusi wakichokozwa lini, wapi? Chanzo cha mzozo ni nini? Madai ya Yevgeny Prigozhin kuhusu chanzo cha vita umeyasikia? Unayakubali au unayajibu vipi?
 

warusi walitaka hakikisho la ukraine kutojiunga na nato, west wakagoma.

Kama ujuavyo ukraine imepakana na urusi na nato specifically US huweka silaha zake na majeshi katika nchi wanachama hivyo wangekuwa wamemsogelea sana urusi kama ukraine angekuwa member.

Huoni kama urusi alikuwa sahihi kujihami haraka kabla ukraine na nato hawajatimiza hilo?
 
Kwanza kwa nini Warusi wawapangie Ukraine wajiunge wapi na wasijiunge wapi wakati Ukraine ni nchi huru?
 
Mkuu,

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Kwanza kwa nini Warusi wawapangie Ukraine wajiunge wapi na wasijiunge wapi wakati Ukraine ni nchi huru?

unadhani mexico pale akitaka kuungana kijeshi na urusi,marekani atakubali?
unaufahamu mgogolo wa cuba 1961?
 
unadhani mexico pale akitaka kuungana kijeshi na urusi,marekani atakubali?
unaufahamu mgogolo wa cuba 1961?
Kwani mimi wapi nilisema nakubaliana na Wamarekani kuhusu Cuban Missile Crisis?

Cuba na Ukraine zote ni nchi huru na zina haki ya kuamua z8nafanya nini.

Ukiingilia haki hiyo unafanya ubeberu.
 
Kwani mimi wapi nilisema nakubaliana na Wamarekani kuhusu Cuban Missile Crisis?

Cuba na Ukraine zote ni nchi huru na zina haki ya kuamua z8nafanya nini.

Ukiingilia haki hiyo unafanya ubeberu.

ni kweli ni nchi huru lakini kama urafiki wa jirani yangu unatishia usalama wangu basi huyo jirani atafyekwa hakika.

kama ambavyo marekani ange react kwa mexico kama ingeweka uhusiano wa kijeshi na urusi, ndivyo ambavyo urusi ana react pale ukraine inapotaka kujiunga na NATO.
 
Unaji contradict. Halafu unaleta mfano mwingine kwa namna ya "two wrongs make a right".

Two wrongs do not make a right.
 
umeifuatilia historia yake ilipoanzia?
huoni kama warusi walichokozwa?
au hauifuatilii kabisa, kwa sababu sijawahi ona maoni yako kuihusu ?
Unajichosha tu.... Sasa Kwa Majibu anayotoa unataka kumuelewesha nini .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…