Mkuu wa kituo Mabwepande huyo Mama uliyemuweka ndani kisa mchango wa ulinzi shirikishi Tsh. 15,000 kwa mwezi, ipo siku utalipa

Mkuu wa kituo Mabwepande huyo Mama uliyemuweka ndani kisa mchango wa ulinzi shirikishi Tsh. 15,000 kwa mwezi, ipo siku utalipa

Status
Not open for further replies.

kajekudya

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
2,466
Reaction score
4,916
Umeshirikiana na kiongozi wa CCM mnamnyanyasa huyo Mama. Tena mtumishi wa Serikali kisa Tsh. 15000/= za ulinzi shirikishi. Yaani kweli kila mwezi mtu alipe Tsh.15,000/= tena kwa Walinzi ambao hata hajui Kama wanalinda.

Najua mnataka kugeuza kesi. Lakini ipo siku utalipa nakuapia.


UPDATE:
Mama aliyekuwa ameshikiliwa kituo cha Polisi Mabwepande ameachiwa.
 
Umeshirikiana na kiongoza wa CCM mnamnyanyasa huyo Mama. Tena mtumishi wa Serikali kisa tsh. 15000/= za ulinzi shirikishi. Yaani kweli kila mwezi mtu alipe Tsh.15000/= tena kwa Walinzi ambao hata hajui Kama wanalinda.
Najua mnataka kugeuza kesi. Lakini ipo siku utalipa nakuapia
Peleka malalamiko wizara ya mambo ya ndani mkuu
 
Umeshirikiana na kiongoza wa CCM mnamnyanyasa huyo Mama. Tena mtumishi wa Serikali kisa tsh. 15000/= za ulinzi shirikishi. Yaani kweli kila mwezi mtu alipe Tsh.15000/= tena kwa Walinzi ambao hata hajui Kama wanalinda.
Najua mnataka kugeuza kesi. Lakini ipo siku utalipa nakuapia
Ila uwe na malalamiko yaliyotosheka na ushahidi. Iko nyepesi sana. Huu uonevu upo. Na ndio maana jeshi la polisi mama anataka kulifumua kabisa
 
Mamlaka husika uzioni, kwan wengine mnalipa bei gani ya ulinzi kwa mwezi
Daaa kwahiyo raia siku hizi tunajilipia ulinzi wetu. Za kile Kodi za kila mwezi zinazowalipa hao wanaojiita Polisi zinaenda wapi
 
Mkuu tsh 15000 yote kweli. Na hapo kosa lake ni lipi kama siyo uonevu tu
Hii ni nyingi labda kama alilimbikiza kisha akawajibu jeuri maana kuna wanawake Wana laana za ukoo ya kauli chafu
 
Ila uwe na malalamiko yaliyotosheka na ushahidi. Iko nyepesi sana. Huu uonevu upo. Na ndio maana jeshi la polisi mama anataka kulifumua kabisa
Mkuu sasa naongea uzushi wa nini
 
Daaa kwahiyo raia siku hizi tunajilipia ulinzi wetu. Za kile Kodi za kila mwezi zinazowalipa hao wanaojiita Polisi zinaenda wapi
Askari hawatoshi, utaratibu wa kuchangia ulinzi sh ngapi upangwa na wakazi husika wa mtaa
 
Mkuu tsh.15000 na anayezichangisha ni mjumbe wa mtaa wa CCM
Hii ni nyingi labda kama alilimbikiza kisha akawajibu jeuri maana kuna wanawake Wana laana za ukoo ya kauli chafu
 
Ila uwe na malalamiko yaliyotosheka na ushahidi. Iko nyepesi sana. Huu uonevu upo. Na ndio maana jeshi la polisi mama anataka kulifumua kabisa
Bila kulitoa kwenye makucha ya CCM hapo ni sawa na kubadili chupa ya mvinyo tu.
 
Hawa jamaa wawili. Mkuu wa kituo na huyo mwana CCM wamenichukiza. Kama hawako sawa. Mda si mrefu watapata majibu
 
Mlikubaliana kama mtaa,na kwann akamatwe yeye tu
Sijui. Alitumiwa hati ya wito. Eti hajalipa ameenda wamemuweka ndani. Sasa hapa Mimi sioni kosa. Natafuta majina yao. Nawapeleka kwenye Mahakama za asiri
 
Mkuu tsh.15000 na anayezichangisha ni mjumbe wa mtaa wa CCM
Unapoleta jambo JF jitahidi upate taarifa za kutosha kuliko kuandika habari za uzushi.

Mimi ninapoishi malipo ya ulinzi shirikishi ni sh 1000/= kwa mwezi na bado kuna baadhi ya watu wanawasumbuwa kuwalipa pesa yao.

Sisi kwetu nyumba zote tumepewa control namba yako unalipa mwenyewe kwa simu.

Nadhani kuna by law wasiolipa au wadaiwa Sugu ukipelekwa Polisi kifuatacho ni fine ya sh 300,000/=

Ila habari yako ina uwongo ndani yake au hauna taarifa sahihi, na huyo mama anapaswa kulipa pesa ya ulinzi au wewe unaedhani hapaswi kulipa basi mlipie wewe.

Mkumbuke hizo ada ndio zinategemewa kuwalipa mishahara hao wanaofanya doria mitaani usiku.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom