Na hapo watz wajue jeshi litu halijawahipo kupigana ukitoa kwa amini so maeneo yotenwaliopita wao ni peacekeeper sio battle force on ground msisikilize kelele kama sijui tulienda kongo Sudan sijui Lebanon huko kote ninkufanya Doria tu maana hatanpolisi nao hua wanaenda hatujawahi kuingia vitani wenye macho wataonaUbaya jeshi la kulinda amani linatakiwa kuzuia na sio kushambulia ndio kanuni za kimataifa zinasema hivyo