Mkuu wa Majeshi Afrika Kusini amjibu Rais Kagame

Mkuu wa Majeshi Afrika Kusini amjibu Rais Kagame

Baada ya show!!
Kwa wanaoita hayo mapigano "show" wajue Tanzania ilikaa njaa miaka mitano baada ya 1979, tukapewa unga wa yanga na USA, petroli tulikuwa tunanunua kwa kibali na kwa foleni, na sabuni na sukari ni kwenye duka la kaya.

Majenerali wa USA ambao hawajawahi kushindwa vita wanasema hakuna mjeda anaependa vita. Na kitu kigumu kwa marais wao huwa wanasema ni kupeleka watoto wa watu vitani

Sasa sisi ambao tunaweza kusondekwa vitani kwa kikao kimoja cha Halmashauri Kuu tuendelee kuchekelea na kufanya mizaha kwenye mitandao. .
 
Hii

Ni kweli cheki baada y ndege kufanya yake kwa m23. Kisha wakakaguliwa walio kufa.
Ipo chini hapo.
KAZI ni kipimo cha UTU
Shambulizi lote hilo la ndege alafu nyasi hazijaungua bali zinaoneshwa maiti tu tena zenye majeraha usoni na mikononi.?🤣 Hivi unajua shambulio la bomu kazi yake ni kutawanya viungo?
 
Baada ya show!!
Na hii itakua game gani?
KAZI ni kipimo cha UTU
Hao walokufa mbona ni ngozi nyeupe na wamevaa trainers chini? Ile video game uliyoweka ni kama utitiri wa wanajeshi ulilipuliwa kwa wakati mmoja tungeona maiti deformed kabisa, umeunganisha kujaribu kuaminisha watu but it's a hoax.
 
 

Attachments

  • IMG_8743.jpeg
    IMG_8743.jpeg
    261 KB · Views: 6
Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Kumbe South Africa wana A-10 warthog? Mana ndio imeonekana ikinya hapo
 
Hao M23 ni kwamba wanujuzi wa kupigana sana au silaha zao nzuri sana, wana ujuzi sana au ni wengi sana?

Nashangaa Goma yenyewe hata hailingani na Kibaha, sasa hao M23 inakuwaje wana nguvu sana kuliko hata jeshi la Kongo lenyewe? Au Jeshi la Kongo lenyewe linaaskari pungufu, au hawana silaha?

Iweje Nchi kubwa na utajiri kama DRC inashindwa kulinda mipaka ya nchi yake mpaka isaidiwe na nchi jirani? na hizo nchi jirani kama Tanzania, Malawi, Kenya, na South Afrika wanalinda nini ikiwa hao M23 wanaweza kuwashambulia na kuwaondoa kwenye post zao?

M23 wanaogopwa sana au mataifa hayo yanlinda kitu kingine huko Goma?
Screenshot_20250130-030413.jpg
🤣🤣🤣🤣🤣👆🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hahahah!! Cheki ya pili baada ya ndege vita kufanya yake kwa m23. Kikosi cha nchi kavu kikaenda kuakiki maiti vitani.nimeweka hapo
KAZI ni kipimo cha UTU
Hao ni FARDC, angalia uniform na usikilize wanaoongea au nikutumie video ndefu yatukio ndio uamini .
 
Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Shida yangu kwenye hii video ni uhalisia wake. Je, sio video game hii? Kama mwendo ndio huo mbona vita ingeisha ndani ya masaa 24!
 
Hao M23 ni kwamba wanujuzi wa kupigana sana au silaha zao nzuri sana, wana ujuzi sana au ni wengi sana?

Nashangaa Goma yenyewe hata hailingani na Kibaha, sasa hao M23 inakuwaje wana nguvu sana kuliko hata jeshi la Kongo lenyewe? Au Jeshi la Kongo lenyewe linaaskari pungufu, au hawana silaha?

Iweje Nchi kubwa na utajiri kama DRC inashindwa kulinda mipaka ya nchi yake mpaka isaidiwe na nchi jirani? na hizo nchi jirani kama Tanzania, Malawi, Kenya, na South Afrika wanalinda nini ikiwa hao M23 wanaweza kuwashambulia na kuwaondoa kwenye post zao?

M23 wanaogopwa sana au mataifa hayo yanlinda kitu kingine huko Goma?
Jeshi la Congo kagame ameshapandikiza watu wengi. Ni jeshi lenye watu wanaouza mbinu sana. Ni sawa na Nigeria na Boko Haram..


Hata hapa Tanzania CDF aliwahi kusema Kuna wakimbizi wengi kwenye nafasi za kimaamuzi. Nenda kafuatilie alikuwa anamaanisha nini
 
Rafiki kuna jamaa hapo juu kakwambia hiyo video ya mwanzo inayo onesha A10 warthhog aircraft inashambulia wanajeshi ni ya zamani kuliko tukio lenyewe na ni from game " digital combati simulation"
 

Attachments

  • Screenshot_20250131_092532_Chrome.jpg
    Screenshot_20250131_092532_Chrome.jpg
    190.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250131_092607_Chrome.jpg
    Screenshot_20250131_092607_Chrome.jpg
    244.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250131_092630_Chrome.jpg
    Screenshot_20250131_092630_Chrome.jpg
    218.7 KB · Views: 4
Sasa ipo video ya baada ya ndege vita kufanya maafa haya video ni yakuogopesha MNO. Naogopa ni hatari kuliko hatari yenyewe wamesagika.
KAZI ni kipimo cha UTU

Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Inatisha kama sio video game.
 
Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Aisee ni hatari sana, Kumbe ndo maana Kagame Sukari imepanda
 
Back
Top Bottom